بسم الله الرحمن الرحيم

kutafuta elimu ni faradhi kwa kila muislamu
الحمد لله الذي نستعينه ونستغفره ونعوذ بالله من شرور أنفسنا ومن سيئات أعمالنا من يهد الله فلا مضل له ومن يضلل فلا هادي له .



ونشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له ونشهد أن محمدا عبده ورسوله أرسله بالهدى ودين الحق ليظهره على الدين كله وكفى بالله شهيدا




Thursday, February 4, 2010

SALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARKATUH

بسم الله الرحمن الرحيم
الحمد لله الذي نستعينه ونستغفره ونعوذ بالله من شرور أنفسنا ومن سيئات أعمالنا من يهد الله فلا مضل له ومن يضلل فلا هادي له .
ونشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له ونشهد أن محمدا عبده ورسوله أرسله بالهدى ودين الحق ليظهره على الدين كله وكفى بالله شهيدا

Assalam alaykum ndugu zangu katika iiman.
shukrani zote anastahiki ALLAH(sw) rehma na aamani zimfikie mtukufu wa darja nabii Muhammad(saw).
(يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالاً كَثِيراً وَنِسَاءً وَاتَّقُوا اللَّهَ الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيباً) (النساء:1)
(يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَقُولُوا قَوْلاً سَدِيداً يُصْلِحْ لَكُمْ أَعْمَالَكُمْ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَمَنْ يُطِعِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ فَازَ فَوْزاً عَظِيماً) (الأحزاب:70-71)
أما بـــعـــــد

Ama baada ya kumshukuru Jalali na kumtakia rehma Rasuuli,
nichukue fursa hii kuwatambulisha nafasi hii niliyoruzukiwa na allah kuutangaza uislamu haswa tovuti hii ya jumuiya ya wanafunzi wa kiislamu chuo kikuu Dodoma kama inavyo julikana UDOMSA yaani University of Dodoma Muslim Students Association.
Jumuya yetu inaundwa na wanafunzi wasomi wa chuo kikuu Dodoma.
Chuo chetu kinapatikana Mkoa wa Dodoma katikati ya Nchi ya Tanzania.Ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2007/08 kwa kuanza tu kwa chuo kikuu hiki.
Lengo letu ni kuwa pamoja na kukamilisha yale yahusianayo na uislamu na waislamu ndani na nje ya chuo kikuu Dodoma.Kutoa Elimu na kutafuta elimu huswa ya kiislamu katika mazingira ya chuoni na wanachuo wa UDOM.
Jumuiya hii inaundwa na idara ambazo zinapatikana katika College zote za University of Dodoma,Idara hizi ni
IDARA YA HABARI NA MAHUSIANO
IDARA YA ELIMU NA DAAWA
IDARA YA IMAMU NA MUDIR
IDARA YA FEDHA NA UCHUMI
IDARA YA MAKTABA.
Idara hizi husimamia utendaji wa malengo ya jumuiya na wanajumuiya kwa ujumla
Jumuiya ina mawasiliano na jumuiya za ndani nanje ya chuo.Waweza wasiliana nasi kwa anuani zifuatazo
UDOMSA,
IDARA YA HABARI NA MAHUSIANO,
BOX 1160,
DODOMA,TANZANIA
Mudir wa udomsa-+225715 960 706
Katibu Idara ya habari na Mahusiano udomsa-+225712 008 227/+225754371115
katibu mkuu udomsa-+225713160330/+225763 930 545

No comments: