بسم الله الرحمن الرحيم

kutafuta elimu ni faradhi kwa kila muislamu
الحمد لله الذي نستعينه ونستغفره ونعوذ بالله من شرور أنفسنا ومن سيئات أعمالنا من يهد الله فلا مضل له ومن يضلل فلا هادي له .



ونشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له ونشهد أن محمدا عبده ورسوله أرسله بالهدى ودين الحق ليظهره على الدين كله وكفى بالله شهيدا




Monday, August 1, 2011

KIVULI CHA ALLAH (S.W) SIKU YA KIAMA

KIVULI CHA ALLAH(S.W) SIKU YAKIAMA
"Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kuna watu saba (7) ambao Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) atawafunika katika kivuli chake katika siku ambayo kutakuwa hakuna kivuli isipokuwa kivuli chake Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)”:
1. Kiongozi Muadilifu
2. Kijana aliyekulia katika kumcha Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)
3. Muislamu ambaye moyo wake umesehelea katika msikiti
4. Watu wawili wapendanao kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala), Kukutana kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) na kuachana kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)
5. Mwanaume aliyeitwa na mwanamke mrembo kwa kutaka kufanya matendo ya haramu na akasema, “La hakika mimi namuogopa Allaah (Subhaanahu Wa Ta’ala)”
6. Mtu anayetoa sadaka kwa mkono wa kulia na wa kushoto usijue kitu kilichotendeka (atoae sadaka kwa siri bila ya wengine kujua kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)
7. Mtu anayemkumbuka Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) kwa faragha na huku macho yake yakatokwa na machozi.”
(Al-Bukhaariy na Muslim) Katika Hadiyth hii nzuri Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kazungumzia kuhusu vitu vidogo vya ‘Ibaadah ambavyo ujira wake ni mkubwa mno: kivuli katika siku ambayo kutakuwa hakuna kivuli isipokuwa cha Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala). Hii inaweza kuonekana kuwa si jambo kubwa katika mara ya kwanza utakaposoma, lakini ukidhamiria katika Hadiyth ifuatayo; “Katika siku ambayo Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) atawafufua viumbe vyake vyote, jua litashushwa karibu sana na watu ambapo kutaachwa tofauti ya maili moja baina ya jua na watu ardhini. Watu watatopea katika jasho kulingana na amali zao, wengine mpaka kwenye vifundo vya vya miguu, wengine mpaka kwenye magoti yao, wengine mpaka kwenye viuno vyao na wengine watakuwa na hatamu ya jasho na, wakati yalivokuwa yanasemwa haya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) aliweka mkono mbele ya mdomo wake.” Imesimuliwa na Al-Miqdaad bin Aswad na imekusanywa katika Swahiyh Muslim - Juzuu ya nne (4), ukurasa wa 1487-8, nambari 6852.
TUOMBEE ZAIDI TUWE NA TABIA HIZI.

HEALTH BENEFITS OF LEMONS

Health Benefits of Lemons
Lemon is one of those super foods with a myriad health and cosmetic benefits. There are a few persons for whom it is an allergen, so make sure you are not allergic to this natural product, before you start enjoying the many benefits.
1. Lemon being a citrus fruit , fights against infection. It helps in production of WBC's and antibodies in blood which attacks the invading microorganism and prevents infection.
2. Lemon is an antioxidant which deactivates the free radicals preventing many dangerous diseases like stroke, cardiovascular diseases and cancers.
3. Lemon lowers blood pressure and increases the levels of HDL (good cholesterol).
4. Lemon is found to be anti-carcinogenic which lower the rates of colon, prostate, and breast cancer. They prevent faulty metabolism in the cell, which can predispose a cell to becoming carcinogenic. Also blocks the formation of nitrosamines in the gut.
5. Lemon juice is said to give a glow to the skin..
6. A few drops of lemon juice in hot water are believed to clear the digestive system and purify liver as well.
7. The skin of lemon dried under the sun and then ground to make powder can be applied to the hair for a few minutes before bath which relieves head ache and cools the body.
8. Applying lemon juice to acne dries the existing ones and prevents from getting more.
9. Lemon juice acts as a natural hair lightner and skin bleach which reduces the pigment melanin and prevents the risk of chemical allergic reactions which is common with hair dyes and bleaches.
10. Lemon juice is given to relieve gingivitis, stomatitis, and inflammation of the tongue.
11. Lemon juice is given to prevent common cold.
12. Lemon juice is given to prevent or treat urinary tract infection
and gonorrhea.
13. Lemon juice is applied to the sites of bites and stings of certain insects to relieve its poison and pain.
14. Lemon juice relieves colic pain and gastric problems.
15. Lemon juice soothes the dry skin when applied with little glycerin.
16. Lemon juice used for marinating seafood or meat kills bacteria and
other organisms present in them, thereby prevents many gastro-intestinal tract infections.
17. Lemon juice with a pinch of salt (warm) every morning lowers cholesterol levels and brings down your weight.
18. Lemon juice is the best drink to prevent dehydration and shock in case of diarrhea.
19. Lemon juice can also be used as a mouthwash. It removes plaque, whitens the teeth and strengthens the enamel.
20. A table spoon on thick lemon syrup everyday relieves asthma.
21. Lemon juice relieves chilblains and itchy skin.
22. Gargling lemon juice relieves throat infection and also used as a treatment for diphtheria.
23. Lemon juice is an excellent treatment for dandruff and greasy hair.
24. Lemon applied over the face removes wrinkles and keeps you young.
25. Lemon juice helps to prevent and cure osteoarthritis.

HIZI NI DHIKIR ZA KILA BAADA YA SWALA YA FARDHI

BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM
ADHKAAR ADBAAR SWALAWAAT KHAMSA
1. {ASTAGHFIRU LLAHA.... ASTAGHFIRU LLAHA.... ASTAGHFIRU LLAHA...}

2. {ALLAHUMMA ANTA SSALAAM WAMINKA SSALAAM TABAARAKTA YAA DHAAL JALAAL WAL-IKRAAM}

3. {LAA ILAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIYKA LAHU, LAHUL MULKU, WALAHUL HAMDU, WAHUWA A’LA KULLI SHAY-I QADIYR. ALLAHUMMA LAA MAANI’I LIMAA A’ATWAYTA, WALAA MA’ATWIY LIMAA MANI’ITA, WALAA YAN-FA’U DHAAL JADDU MINKAL JADDU}

4. {LAA ILAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIYKA LAHU, LAHUL MULKU, WALAHUL HAMDU, WAHUWA A’LA KULLI SHAY-I QADIYR LAA HAWLA WALAA QUWWAT ILLA BI-LLAH, LAA ILAHA ILLA LLAH, WALAA NA’ABUDU ILLA IYYAAHU, LAHU NNA’AMATU, WALAHUL FADHILU, WALAHU THANAA-A HASAN, LAA ILAHA ILLA LLAH MUKH-LISWIYNA LAHU DDIYN WALAW KARIHAL KAAFIRUUN}

5. {SUBHAANA LLAH (33) WAL-HAMDULILLAH (33) WALLAAHU AKBAR(33) WATAMAAMUL MIATU (LAA ILAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIYKA LAHU, LAHUL MULKU, WALAHUL HAMDU, WAHUWA A’LA KULLI SHAY-I QADIYR}

6. QIRAATUL MA’UUDHATAYN ((QUL A’UDHU BIRABBIL FALAQ)) WA ((QUL A’UDHU BIRABBIL NNAAS))

7. SOMA AAYATUL KUR-SIYY {SURATUL BAQAR: AYA YA 255}

Sunday, May 1, 2011

MJUWE ADUI YAKO NA SIFA ZAKE.
Na BILAL KHALID
KIFUATACHO NI KITAMBULISHO CHAKE
JINA
Ibilisi
MJI
Ndani ya nyoyo za walioghafilika
KABILA
Mashetani
MWISHO WAKE
Ndani ya moto wa Jahannam
CHEO
Muovu wa hali ya juu
SEHEMU ANAZOZIPENDA
Pasipotamkwa jina la Mwenyezi Mungu
NJIA YAKE
Isiyonyoka
RASILMALI YAKE
Tumaini
BARAZA ZAKE
Masokoni
MAADUI ZAKE
Waislamu
ANACHOPENDA
Unafiki

NGUO ZAKE
Mfano wa kinyonga – kila mahali na rangi yake
WAKE ZAKE DUNIANI
Wanaokwenda uchi huku wakiwa wamevaa
ANAOWAPENDA
Walioghafilika na kumtaja Mwenyezi Mungu
ASOWAPENDA
Wenye kuomba maghfira
NYUMBA YAKE
Vyooni na sehemu chafu
SIFA ZAKE
Hana msimamo maalum
TAREHE YA KUANZA KAZI
Siku aliyokataa kumsujudia baba yetu Adam (AS)
MARAFIKI ZAKE
Wanafiki
MSHAHARA WAKE
Mali ya haramu
OFISI ZAKE
Mahali anapoasiwa Mwenyezi Mungu
SHUGHULI ZAKE
Anaamrisha maovu na anakataza mema
DINI YAKE
Kafiri
WADHIFA WAKE
Mkurugenzi mkuu wa walioghadhibikiwa na waliopotoka
MUDA WAKE WA KAZI
Unaisha siku kiama kitakaposimama
NJIA YAKE
Inayoelekea motoni
WANAOSAFIRI NAYE
Mashetani miongoni mwao ni majini na binadamu
MFANZA KAZI ANAYEMPENDA
Mwenye kuinyamazia haki
NJIA ZA KUWASILIANA
Kusengenya – kupelelezana – kufitinisha
CHAKULA ANACHOKIPENDA
Kula nayama za maiti (kusengenya)
ANAWAOGOPA
WachaMungu
ANAWACHUKIA
Wanaomtaja sana Mwenyezi Mungu
MITEGO YAKE
Wanawake, watoto, na mali
MATAMANIO YAKE
Kuwakufurisha watu wote
NENO ANALOLIPENDA
‘Mimi’
SAUTI ANAZOZIPENDA
Za waimbaji wanaume kwa wanawake
WAADI WAKE
Anakuahidini ufakiri
KINACHOMLIZA
Kumsujudia Mwenyezi Mungu

Wednesday, April 27, 2011

MWANAMKE WA KIISLAMU: HADHI YAKE KATIKA UMMAH
Shaykh 'Abdul-'Aziyz Ibn Baaz (RahimahuLlaah)
Siri ya umuhimu wa mwanamke wa Kiislam inatanda katika mzigo mkubwa na jukumu ambao alilowekewa mbele yake, na mashaka ambayo yako katika mabega yake. Jukumu na mashaka ambayo hata mengine mwanamme anaweza kubeba.
Hadhi ya mwanamke katika Uislam ina cheo kikubwa na iliyo na taadhimu, na taathira yake ni kubwa mno katika maisha ya kila Muislamu. Kwa kweli mwanamke wa Kiislamu ni mwalimu wa kwanza katika kujenga jamii njema, ikiwa kama atafuata mwongozo kutoka katika Kitabu cha Allaah na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu alayhi wa sallam).
Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa sallam) amesema: "Nakuachieni vitu viwili, hamtapotea kamwe kama mkivishikilia kwa nguvu vyote viwili hivi, Kitabu cha Allaah na Sunnah zangu.
Kama ilivyokuwa katika ukawaida wa Qur-aan na Sunnah humwekwa kila Muislamu mwanaume au mwanamke mbali na upotofu kwa njia yeyote. Upotofu ambao mataifa mbali mbali yanaugua, na upotofu wao hauji ila kwa sababu ya kuwa mbali kabisa na njia ya Allaah, ambaye ni Mkamilifu kushinda wote, Aliye juu kabisa, na pia kuwa mbali na yale ambayo Mitume na Manabii wake (Rehma na Amani ziwafike juu wao wote) wamekuja nayo. Umuhimu mkubwa wa mwanamke wa Kiislam ikiwa mke, dada, au binti, haki ambazo zinatakiwa kutimizwa kwake na haki ambazo anatakiwa kutimiza zimefafanuliwa katika Qur-aan Tukufu, na maelezo zaidi ya haya yamefafanuliwa katika Sunnah iliyotakasika.
Siri ya umuhimu wake umetanda katika kazi yake nzito na mamlaka ambayo yamewekwa juu yake, na shida ambazo anabeba mabegani kwake - mamlaka na dhiki ambazo hata mwanaume hawezi kuzibeba. Ndio maana imelazimishwa kwa mtu kuonyesha hisani kwa mama yake, kuonyesha upole na uhusiano wa ukaribu ulio mzuri kwake. na katika jambo hili, apewe ubora kuliko baba mtu. Mwenyezi Mungu Mtukufu kasema:
"Na Tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu, na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili. (Tumemuusia): Nishukuru Mimi na wazazi wako. Ni Kwangu Mimi ndiyo marudio." [Surah Luqmaan 31:14].
Mwenyezi Mungu Aliyetukuka kasema,
"Na Tumemuusia mwanaadamu awatendee wema wazazi wake wawili. Mama yake amechukua mimba yake kwa taabu, na akamzaa kwa taabu. Na kuchukua mimba kwake hata kumwachisha ziwa ni miezi thalathini". [Surah Ah'qaaf 41:15].
Mtu alikuja kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu alayhi wa salam) na akasema,
"Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nani miongoni wa watu wote anastahiki uhusiano wangu wa karibu?" Mtume akajibu. "Mama yako"
Yule mtu akauliza tena, "kisha nani?" Mtume akamjibu
"Mama yako"
Yule mtu akauliza tena, "kisha nani?" Mtume akamjibu
"Mama yako"
Yule mtu akauliza tena, "kisha nani?" Mtume akamjibu.
"Baba yako"
Kwahiyo haya yanasisitiza kwamba mama mtu anapewa heshima mara tatu kuliko baba mtu.
Na kuhusu mke, hadhi yake na taathira yake katika kutuliza moyo na kuliwaza imeonyeshwa wazi wazi katika Aayah Tukufu (kauli ya Allaah), katika msemo wake Mtukufu,
"Na katika Ishara Zake ni kuwa Amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri. [Suuratur-Ruum 30:21].
Al-Haafidh Ibn Kathiyr (Aliyefariki 774H) - RahimahuLLaah - alisema katika kufafanua neno ‘Mawaddah’ na ‘Rahmah’ ambayo inapatikana katika Ayaah iliyopita, anasema:
"Al-Mawaddah inamaanisha mapenzi na mahaba na Ar-Rahmah inamaniisha rehma (upole) na huruma - kama ilivyokuwa mtu anamchukuwa mwanamke ama kwa sababu ya mapenzi kwake, au kwa sababu ya mapenzi juu yake au kwa sababu ya upole na huruma juu yake, kwa kumpa mtoto kutokana na yeye..."
Na jinsi mke wa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) Bi Khadiyjah (Radhiya Allaahu 'anha) alivyosimama kwa namna ya pekee kusaidia sana kumliwaza na kumtuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) wakati Jibriyl ('alayhis-salaam) alipojitokeza kwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) kwa mara ya kwanza katika pango la Hiraa. Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) alirudi kwa Bi Khadiyjah (Radhiya Allaahu 'anha) akiwa na wahyi wa kwanza na huku moyo wake unapiga na kutetemeka kwa nguvu, na akamwambia Bi Khadiyjah:
"Nifunika! Nifunike!"
Kwa hiyo, (Bi Khadijah) akamfunika mpaka hofu yake ilipotokomea, baadaye Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) akamuelezea Bi Khadiyjah (Radhiya Allaahu 'anha) kila kitu kilichotokea na akasema
"Naogopa juu ya kutokewa na kitu kibaya"
(Bi Khadiyjah) akamwambia,
"Abadan! WaLlaahi! Allaah hatokuangusha. Unaweka mahusiano mema baina yako na jamaa zako, unawasaidia masikini na fukara, unawahudumia wageni wako kwa ukarimu na unawasaidia wale ambao wamekumbwa na maafa.".
Na usisahau kuhusu mama wa waumini 'Aaishah (Radhiya Allaahu 'anha) pamoja na taathira yake. Hata Maswahaba watukufu walikuwa wanajipatia elimu ya Hadiyth kutoka kwake., na wengi katika Maswahabiyaat (wafuasi wa kike wa Rasuulu-Allaah) walijifunza vitu mbali mbali kuhusu Sharia zilizowahusu wanawake kutoka kwake.
Sina shaka ya kwamba mama yangu- Allaah Amrehemu - alikuwa na taathira makubwa juu yangu, alikuwa ananihimiza nisome, na alikuwa ananisaidia kwa hilo. Allaah Amuongezee thawabu na Amlipe kwa malipo mema kwa yote aliyonifanyia.
Na pia bila shaka, nyumba ambayo ina huruma, upole, upendo na kujali, pamoja na mafundisho mema ya Kiislam itamuathiri mtu. Kwa hiyo atakuwa - ikiwa Allaah atapenda - mwenye kufanikiwa katika mambo yake na katika kitu chochote - ikiwa kutafuta ilmu, biashara, kupata maisha mazuri, au vingine baada ya hivi. Kwahiyo ni Allaah peke Yake ninayemuomba Anipe mafanikio na Atuongoze sote kwenye yale ambayo Anayapenda na Anaridhia. Na Salam na Amani za Allaah zimfikie Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) na familia yake, Maswahaba zake na wafuasi wake.

Monday, April 25, 2011

25 WAYS TO DEAL WITH STRESS AND ANXIETY
by Abdul Malik Mujahid
Stress is life. Stress is anything that causes mental, physical, or spiritual tension. There is no running away from it. All that matters is how you deal with it. This article does not deal with the factors of stress, anxiety, and depression, nor is it a clinical advice. If you feel depressed, you are not alone. It has been estimated that 75 to 90 percent of all visits to primary care physicians in America are for stress-related problems. This is why it is wise to consult a doctor if you are having physical symptoms of stress. However, here are some tips that can help from a spiritual perspective. Please send us your feedback so that we can improve this article Insha Allah.
Torture. Beatings. Loss of property. The death of loved ones. These were just some of the enormous challenges the Muslims of Makkah faced in the seventh century following their acceptance of Islam in fiercely tribal and polytheistic Makkah.
Detention. Harassment. Beatings. Discrimination. Loss of Job. Profiling. Hate Crimes. Constant media attention. Surveillance. These are just some of the challenges Muslims in America today face, post-9/11. Like our predecessors in Makkah, we have begun to face great stress, anxiety, and pressure, more than ever in our recent history on this continent, although Muslims who were brought here as slaves faced worse than what we can even imagine.
1. Ask Him. He Listens: Dua
Turn each anxiety, each fear and each concern into a Dua (supplication). Look at it as another reason to submit to God and be in Sajdah (prostration), during which you are closest to Allah. God listens and already knows what is in your heart, but He wants you to ask Him for what you want. The Prophet said: Allah is angry with those who do not ask Him for anything (Tirmidhi).
The Prophet once said that in prayer, he would find rest and relief (Nasai). He would also regularly ask for God’s forgiveness and remain in prostration during prayer praising God (Tasbeeh) and asking for His forgiveness (Bukhari).
Allah wants you to be specific. The Prophet advised us to ask Allah for exactly what we want instead of making vague Duas. Dua is the essence of worship (the Prophet as quoted in Tirmidhi).
"Call on your Lord with humility and in private: for Allah loveth not those who trespass beyond bounds. Do not make mischief on the earth, after it hath been set in order, but call on Him with fear. And longing (in your hearts): for the mercy of Allah is (always) near to those who do good" (Quran 7:55-56).
2. Tie your Camel: Do your Part
One day Prophet Muhammad, peace and blessings be upon him, noticed a Bedouin leaving his camel without tying it. He asked the Bedouin, "Why don't you tie down your camel?" The Bedouin answered, "I put my trust in Allah." The Prophet then said, "Tie your camel first, then put your trust in Allah" (Tirmidhi).
Muslims must never become fatalistic. Although we know only Allah is in control and that He has decreed all things, we are each responsible for making the right choices and doing the right thing in all situations of our lives. We must take action (link to planning articles on SV). We must work to alleviate the hardships we, our families and our communities face.
Ask yourself the following questions if you are worried about the state of the world: are you part of the peace movement? Is your Masjid part of the peace movement? Are you part of an interfaith group with an agenda of peace and justice? Are you working with a group fighting discrimination? If your answer is no, it is time that you sat down to plan your share of time and money in finding solutions to the problems you face. "Verily Allah does not change men’s condition unless they change their inner selves" (Quran 13: 11).
Turn each worry into a Dua and each Dua into an action plan. That will show your commitment to your request and will focus your energy in the right direction.
3. Remember that human responsibility is limited
While we need to carry out our duty to the best of our abilities, always remember that you don't control the outcome of events. Even the Prophets did not control the outcome of their efforts. Some were successful, others were not. Once you have done your duty, leave the results to Allah. Regardless of the results of your efforts, you will be rewarded for the part you have played.
However, never underestimate your abilities. Understand the concept of Barakah (blessings from Allah) and remember that Allah can and Insha Allah will expand them if you are sincerely exerting your energies for the right path.
4. Leave the world behind you five times a day
Use the five daily prayers as a means to become more Hereafter-oriented and less attached to this temporary world. Start distancing yourself as soon as you hear Adhan, the call to prayer. When you perform Wudu, keep repeating Shahada, the declaration of faith, as water drops slip down your face, hands, arms, and hair. When you stand ready to pray, mentally prepare yourself to leave this world and all of its worries and stresses behind you.
Of course, Shaytan will try to distract you during prayer. But whenever this happens, go back and remember Allah. The more you return, the more Allah will reward you for it. Also, make sure your Sajdas (prostrations) are talking Sajdas, in which you are really connecting to God and seeking His Mercy, praising Him, and asking His forgiveness.
5. Seek help through Sabr
Seek help through Sabr and Salat (Quran 2:45). This instruction from Allah provides us with two critical tools that can ease our worries and pain. Patience and prayer are two oft-neglected stressbusters. Sabr is often translated as patience but it is not just that. It includes self-control, perseverance, endurance, and a focussed struggle to achieve one’s goal. Unlike patience, which implies resignation, the concept of Sabr includes a duty to remain steadfast to achieve your goals despite all odds.
Being patient gives us control in situations where we feel we have little or no control. ‘We cannot control what happens to us but we can control our reaction to our circumstances’ is the mantra of many modern-day self-help books. Patience helps us keep our mind and attitude towards our difficulties in check.
6. Excuse Me! You are Not Running the World, He is.
It is important to remind ourselves that we don’t control all the variables in the world. God does. He is the Wise, the All-Knowing. Sometimes our limited human faculties are not able to comprehend His wisdom behind what happens to us and to others, but knowing that He is in control and that as human beings we submit to His Will, enriches our humanity and enhances our obedience (Uboodiah in Arabic) towards him. Read the story of the encounter of Moses with the mysteries behind God’s decision (Quran: 18:60-82). Familiarize yourself with God's 99 Names, which are also known as His Attributes. It is a powerful way of knowing Him.
"God-there is no deity save Him, the Ever-Living, the Self-Subsistent Fount of All being. Neither slumber overtakes Him, nor sleep. His is all that is in the heavens and all that is on earth. Who is there that could intercede with Him, unless it be by His leave? He knows all that lies open before men and all that is hidden from them, whereas they cannot attain to aught of His knowledge save that which He wills them to attain. His eternal power overspreads the heavens and the earth, and their upholding wearies Him not. And He alone is truly exalted, tremendous." (Quran 2:255).
The Prophet recommended reading this verse, known as Ayat al kursi, after each prayer, Allah’s peace and blessings be upon him. Once Ali, may Allah be pleased with him, approached the Prophet during a difficult time and he found the Prophet in Sajda, where he kept repeating "Ya Hayy Ya Qayyum", words which are part of this verse.
7. Birds Don’t Carry their Food
Allah is al Razzaq (the Provider). "How many are the creatures that carry not their own sustenance? It is Allah Who feeds them and you, for He hears and knows all things (Quran 29:60)." By reminding yourself that He is the Provider, you will remember that getting a job or providing for your family in these economically and politically challenging times, when Muslims are often the last to be hired and the first to be fired, is in God’s Hands, not yours. As Allah says in the Quran: "And He provides for him from (sources) he never could imagine. And if anyone puts his trust in Allah, sufficient is (Allah) for him. For Allah will surely accomplish His purpose. Verily, for all things has Allah appointed a due proportion (Quran 65:3).
8. God controls Life and Death
If you fear for your physical safety and security, remember that only Allah gives life and takes it back and, that He has appointed the time for it. No one can harm you except if Allah wills. As He says in the Quran: "Wherever you are, death will find you out, even if you are in towers built up strong and high!" (Quran 4:78).
9. Remember that life is short
It's easy to get caught up in our own stress and anxiety. However, if we remember that our life is short and temporary, and that the everlasting life is in the Hereafter, this will put our worries in perspective.
This belief in the transitory nature of the life of this world reminds us that whatever difficulties, trials, anxieties, and grief we suffer in this world are, Insha Allah, something we will only experience for a short period of time. And more importantly, if we handle these tests with patience, Allah will reward us for it.
10. Do Zikr, Allah, Allah!
"… without doubt in the remembrance (Zikr) of Allah do hearts find tranquility" (Quran 13:28).
If you commute, use your time in Zikr. Pick any Tasbeeh and do that instead of listening to the radio or reading the newspaper. Maybe you can divide it up between Zikr and planning. Personally, I recite the Tasbeeh of "Subhana Allahe wa be hamdihi, subhan Allahil Azeem" 100 times as I drive. The Prophet taught us these two short phrases which are easy to say but will weigh heavy on our scale of good deeds in the Hereafter.
When your heart feels heavy with stress or grief, remember Allah and surround yourself with His Zikr. Zikr refers to all forms of the remembrance of Allah, including Salat, Tasbeeh, Tahmeed, Tahleel, making supplication (Dua), and reading Quran.
"And your Lord says: ‘Call on Me; I will answer your (prayer)…" (Quran 40:60)
By remembering Allah in the way He has taught us to, we are more likely to gain acceptance of our prayers and His Mercy in times of difficulty. We are communicating with the only One Who not only Hears and Knows all, but Who can change our situation and give us the patience to deal with our difficulties.
"Remember Me, and I shall remember you; be grateful to Me, and deny Me not" (Quran 2:152).
11. Relying on Allah: Tawakkul
When you awaken in the morning, thank Allah for giving you life after that short death called sleep. When you step out of your home, say 'in Your Name Allah, I put my trust in Allah, and there is no power or force except with Allah' (Bismillahi Tawakal to al Allah wa la hawla wa la quwwata illa billah). At night, remember Allah, with His praises on your lips.
Once you have established a plan you intend to follow through on to deal with a specific issue or problem in your life, put your trust in the most Wise and the All-Knowing. "When you have taken a decision, put your trust in Allah" (Quran 3: 159).
Rely on Allah by constantly remembering Him throughout your day. When you lay down to sleep, remember that sleep is death. That is why one of the recommended supplications before going to sleep is "with Your (Allah's) Name I die and become alive".
12. Connect with other human beings
You are not alone. Muslims are not alone. We are not suffering in silence. There are millions of good people who are not Muslim with beautiful hearts and minds. These are people who have supported us, individually and collectively, post-9/11, by checking up on us and making sure we are safe. These are individuals and organizations who have spoken up in defense of Muslims as we endured harassment and discrimination.
We must think of them, talk to them, connect with them, and pray for them. Through our connections, we will break the chain of isolation that leads to depression and anxiety.
13. Compare your dining table with that of those who don't have as much as you do
The Prophet said: Whenever you see someone better than you in wealth, face or figure, you should look at someone who is inferior to you in these respects (so that you may thank Allah for His blessings) (Bukhari, Muslim).
Next time you sit down to eat, eye the table carefully. Check out the selection of food, the quality, the taste, the quantity, and then think of the millions of others who don't have even half as much. The Prophet's Hadith reminds us of this so that we can appreciate and thank God for all that we have.
Also remember that the Prophet only encouraged us to compare ourselves to others in two respects: in our Islamic knowledge and level of belief in God (Deen). In these two areas, we should compare ourselves with those who have more than what we do.
14. Say it Loud: Allahu Akbar, Allahu Akbar: Takbirat & Adhan
Find a corner of a lake, go out in the wilderness, or even stand on your lawn at your home and call the Adhan with your heart. While driving, instead of listening to the same news over and over again, say Allahu Akbar as loudly as you can or as softly as you want, based on your mood. Year ago, I remember calling Adhan on a Lake Michigan shore in Chicago after sunset as the water gushed against my knees. I was calling it for myself. There was no one else accept the waves after waves of water with their symphony. It was relaxing and meaningful. Allahu Akbar, Allahu Akbar.
15. Pray in congregation (Jamat)
Pray with other people instead of alone. If you can't pray all five prayers in congregation, at least find one or two prayers you can pray with others. If you are away, establish Jamat in your own family. During the Prophet's time, even though the Muslims endured great persecution, including physical beatings, they would sometimes meet on the side of a mountain or valley and tried to pray together. This is a great morale booster.
16. How is your Imam's Dua?
Does the Imam at your local mosque make Dua silently or out loud? Ask him to supplicate with the whole congregation. Suggest Duas for him to make. Ask him to make Dua for other people.
17. Work for the Unity of Muslims
Bringing Muslims together will not only help the Muslims, but it will also encourage you to focus your energies on something constructive versus zeroing in on and consistently fretting about difficulties you are going through.
Invite Muslims from other ethnic groups to your functions. Visit Masjids other than yours in your city. When you meet a Muslim leader, after thanking him for his efforts, ask him what he is doing for Muslim unity. Ask Imams to make Dua for this. These are just small ways you can help yourself and the Muslim community.
18. Sleep the way the Prophet slept
End your day on a positive note. Make Wudu, then think of your day. Thank Allah for all the good things you accomplished, like Zikr and Salat. Ask yourself what you did today to bring humanity together and what you did to help Muslims become servants of humanity. For everything positive, say Alhamdu lillah (Praise be to Allah). For everything negative say Astaghfirullah wa atoobo ilayk (I seek Allah's forgiveness and I turn to You [Allah]). Recite the last two chapters of the Quran, thinking and praying as you turn on your right side with your hand below your right cheek, the way the Prophet used to sleep. Then close your day with the name of Allah on your tongue. Insha Allah, you will have a good, restful night.
19. Begin the Day on a Positive Note
Get up early. Get up thanking God that He has given you another day. Alhamdu lillahil lazi ahyana bada ma amatana, wa ilaihin Nushoor (Praise be to Allah Who gave us life after death and unto Him will be the return). Invest in an audio tape driven alarm clock so you can get up to the melody of the Quran. Or Let Dawud Wharnsby's joyful notes put you in a good mood. Sing along if you like. Develop your to do list for the day if you didn't do it the night before. Begin with the name of Allah, with Whose name nothing in the heavens or the earth can hurt you. He is the Highest and the Greatest. (Bismillahillazi la yazurru maa ismihi shaiun fil arze wa la fis samae, wahuwal Alee ul Azeem). The Prophet used to say this after every Fajr and Maghrib prayers.
20. Avoid Media Overexposure: Switch from News to Books
Don't spend too much time checking out the news on the radio, television or internet. Spend more time reading good books and journals. When you listen to the persistent barrage of bad news, especially relating to Muslims nowadays, you feel not only depressed, but powerless. Cut down media time to reduce your stress and anxiety. It's important to know what's going on but not to an extent that it ruins your day or your mood.
21. Pray for Others to Heal Yourself.
The Prophet was always concerned about other people, Muslims and non-Muslims, and would regularly pray for them. Praying for others connects you with them and helps you understand their suffering. This in itself has a healing component to it. The Prophet has said that praying for someone who is not present increases love.
22. Make the Quran your Partner
Reading and listening to the Quran will help refresh our hearts and our minds. Recite it out loud or in a low voice. Listen to it in the car. When you are praying Nafl or extra prayers, pick it up and use it to recite portions of the Quran you are not as familiar with. Connecting to the Quran means connecting to God. Let it be a means to heal your heart of stress and worries. Invest in different recordings of the Quran and their translations.
"O humanity! There has come to you a direction from your Lord and a cure for all [the ills] in men’s hearts - and for those who believe, a Guidance and a Mercy" (Quran 10:57).
23. Be thankful to Allah
"If you are grateful, I will give you more" (Quran 14:7).
Counting our blessings helps us not only be grateful for what we have, but it also reminds us that we are so much better off than millions of others, whether that is in terms of our health, family, financial situation, or other aspects of our life. And being grateful for all we have helps us maintain a positive attitude in the face of worries and challenges we are facing almost daily.
24. Ideals: One step at a time
Ideals are wonderful things to pursue. But do that gradually. Think, prioritize, plan, and move forward. One step at a time.
25. Efforts not Results Count in the Eyes of Allah
Our success depends on our sincere efforts to the best of our abilities. It is the mercy of Allah that He does not demand results, Alhamdu lillah. He is happy if He finds us making our best sincere effort. Thank you Allah!
HISTORIA FUPI YA IKHWAN MUSLIMIN/MUSLIM BROTHERHOOD-MISRI 1978-1938
Chama cha wanandugu wa kiislamu (Muslim brotherhood) kilianzishwa mwaka 1928 na Hassan Al-Banna ambaye kitaaluma ni mwalimu mwenye shahada.
Lengo kubwa la chama ni kuhamasisha /kushawishi watu waufuate utamaduni wa sheria za kiislam katika maisha yao ya kila siku pamoja na kutambua dhimma na wajibu wao katika kusimamia maamrisho ya Allah na kuwa mbali na makatazo yake. Haya yalikuja kutokana na uharibifu wa tamaduni za kiislam katika Misri na watu kupupia katika tamaduni za kimagharibi ambazo zililetwa na watawala wa kikoloni wa Misri. Mtazamo huu wa chama ulionekana kuwa ni kikwazo kwa utawala wa Misri kwa hiyo kilipata upinzani mkubwa sana kutoka kwa watawala ikiwa ni pamoja na kukamatwa na kutishiwa kwa viongozi na wanachama wake na kutaifisha mali zao ili wasiendelee na kazi yao ya kuhamasisha na kuwaelimisha watu kurejea katika tamaduni za kiislam.
1939-1954.
Pamoja na upinzani alioupata kutoka kwa watawala,chama kiliendelea kukuwa kwa kasi na kufikia miaka ya 40, kilikadiriwa kuwa na wanachama zaidi ya milioni.
November mwaka 1948 kakika hali ya kushtukiza gari moja la Ikhwan lilivamiwa na polisi na katika upekuzi walioufanya walikuta nyaraka muhimu sana za chama miongoni mwazo ni zile zenyempango wa siri wa kijeshi wa chama ‘Secret Apparatus ;. Kufuatia kadhia hiyo viongozi 32 wa chama walikamatwa na kuzuiwa magerezani na ofisi kuwa katika ulinzi wa polisi huku hakuna ambacho kilikuwa kikiendelea. Mwezi uliofuata waziri mku wa Misri, Mamoud Fahmi Nolerash aliagiza kufutwa kwa chama cha Ikhwan katika Misri .
Kitendo ch waziri mkuu kutoa amri hiyo kiliwachukiza mno watu ,wanacham na wapenzi wake,Tarehe 28/12/1948 waziri mkuu aliulizwa na Abdul Mughrib Ahamad Hassan ,ni mwanachama wwa Ikhwan alionyesh kuchukizwa kwako na Jitihada za utawalw wa Misri dhidi ya Ikhwan.
Mwezi mmoja na nusu baadaye kiongozi wa ikhwan ImanHassan Al-Banna naye aliuliwa kwa kupigwa risasi katika viunga vya cairo na watu wanaodhaiwa ni mamluki wa serikali ya Misri;Na nafasi yake ikachukuliwa naJaji wa zamani,Hassn Ismail’l al-Hudeyb.
Meaka 1952 majengo zaidi ya 740 ya madanguro ,kumbi ,za starehe,makasino na mahoteli ambayo yalitumiwa sana na wazungu kama sehemu zao za kustarhe ,yaliharibiwa vibaya mno na kuteketezwa kabisa waliohusishw a na tukio hilo ni wan a ikhwan,Hakuna uthibitisho wa moja kwa moja juu ya tuhuma hizo kwa sababu yawezekana ni njama za serikali katika kukipaka matope chama hicho na wanachama wa ikhwan ili wapate sababu za kukihujumu,
1954-Present
Mwaka 1954 rais wa misri Gamal Abdul-Neer alinusurika kuuliwa katika jaribio lililofeli, na watuhumiwa njama hizo ni wale wana Ikhwan katika kitengo cha ‘Secret Apparatus’.
Kufuatia tukio hilo maelfu ya wanachama walikamatwa na kuzuiwa magerezani na katika kambi za mateso huku wakiteswa sana bila ya kufunguliwa mashtaka waliteswa kwa muda mrefu lakini mwaka 1964 baadhi ya wanachama waliuliwa akiwemo mwandishii maarufu wa kiislam Sayyid Qutub.lakin sayyid Qutub pamoja na kaka yake Muhammed Qutub walikamatwa tena maka 1965 mwezi wa Agosti,
Sayyid Qutub alikuwa mwanachama na kiongozi wa kiroho wa Ikhwan mwenye fikra pevu mno katika harakati za kuhuhisha uislam katika Misri.Fikra zake za kurejesha hadhi ya uislam na kuamsha hamasa kwa watu katika kukabili uislam kimatendo zilienea sana katika Misri .Lakini pamoja na hayo ndoto zake zilizimwa mwaka 1966 na serikali ya Misri pale alipohukumiwa kuuwawa.
Kifo cha Qutub kiliacha pengo kubwa mno kwa wana Ikhwan na waislam kwa ujumla kutokana na upevu wa fikra na mitizamo yake ya kiharakati,
Mwaka 1970,Rais wa Misri Anwar Sadat ambaye alimuita Gamal-Naseer, atoe amri ya kuachiwa kwa wanachama wa Ikhwan walioshikiliwa magerezani na aliwaomba wamsaidie katika kupambana na wapinzani wake wa kisiasa.Pamoja na mahusiao hayo mapya,chama cha Ikhwan kiliendelea na shughuli zake kwa kuvumiliwa mno na serikali ya Misri.Pamoja na uvumilivu huu hakikupata usajili ili kitambulikane kissheria.
Mwaka 1979 tarehe 6 ya mwezi October , Rais Anwaar Sadat, alikuwa adui mkubwa w aIkhwa na vyama vingine vya kiislam baada ya kusaini makubaliano y a amani na utawala wa Israel .Miaka miwili baadaye alkuja kuuwawa , tarehe 6 October 1981,na utawala kuchukuliwa na Hosni Mubarak.
Miaka ya 1980 katika utawala wa Mubarak wanafunzi na wataalam wengi wa kiislam walijiunga na Harkati za Ikhwan kwa pamoja waliweza kuunda vikundi mbalimbali vya wataalam na wanafunzi na kutengeneza mtandao madhubuti ambao ulijikita katika kutoa huduma mbalimbali za kijamii kama elimu ,afya,mazingira, masuala y akiuchumi n.k.
Katika kipindi hiki pia chama cha Ikhwan kilipata nguvu kubwa mno ya kisiasa na kuonekana tishio kwa utawala uliopo madarakani.
Katika uchaguzi wa bunge mwaka 2005, wanchama wa Ikhwan waligombea kama wagombea binafsi kwa vile bado chama hakijasajiliwa serikalini ,walifanikiwaa kupata viti 88 ambavyo ni asilimia 20% ya viti vyote,wakati vyama vingine vyenye usajili viliambulia viti 14 tu.Haya yalikuwa ni mafanikio makubwa kwa Ikhwan japo kinaonekana na mizengwe mbalimbali ikiwemo kukamatwa kwa viongozi na wanachama wake ili kuwakatisha tama
Viongozi imara, mipango bunifu umadhubuti wa wanachama unafanya chama kuwa imara na kutekeleza majukumu yake.
Viongozi waliopata kuiongoza Ikhwan
1. Hassan Al-Banna –Mwanzilishi
2. Hassan Hudayb
3. Umar Al-Tilmisan
4. Muhammad Hamid Abu al-Nasr
5. Mustafa Mushhur
6. Ma’munAl-Hudayb
7. Mahmoud alMahdy Akif
8. Muhamad Badie----hadi sasa.

Wednesday, April 13, 2011

KWANINI UISLAMU UMERUHUSU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA?.

Swali hili twaweza liuliza hivi: Kwanini wanawake hawafai kuolewa na mume zaidi ya mmoja,ila wanaume wamepewa ruksa ya wake wanne?
Hili linabainishwa kwa aya ya mwenyezimung ifuatayo:

[Anisaa:3]
“Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana”.
ALLAH ameruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya Mmoja na si mwanamke kuolewa na mwanamme zaidi ya mmoja kwani yeye(mwanamke )anahifadhi bacteria na virusi vinavyojengeka na mwili wa mwanadamu wapatikanao katika manii ya mwanaume na hivyo kimaumbile akihifadhi bacteria na virusi vya zaidi ya mwanamme mmoja ataleta madahara yafuatayo:
1. Ataleta mapiganao aya viumbe bacteria katika mfumo wake wa uzazi ulio na tabia ya kimaumbile kuyapokea na kuayahifadhi kupitia mfumo wake wa uzazi bacteria hawa ni pamoja na mjengo acidi uoneshao asili ya mwanadamu na kitambulisho cha mtu uitwao DNA(Deoxyribonucleic Acid) utaokanao na kujengwa na damu,mate na mbegu za kiume za mwanadamu. Bacteria hawa wakipigana hufa miongoni mwao kuleta uozo ujengao Neisseria gonorrhoeae na wengine hujengwa waitwao Chlamydia trachomatis, Treponema pallidum ,hukimbilia katika sehemu ya ndani ya mfumo wa uzazi kupitia nyama laini inayoujenga mfumo huo hivyo kuleta MAGONJWA kama klamadia,kaswende,kisonono na maumivu, hali hii na athari zake hujijenga na kuwa mabaya zaidi endapo itakuwa mapigano ya bacteria wa namna tofautitofauti kutokana na mwanamke kushiriki jimai na wanaume wengi.

2. Pia kutapatika muingiliano baina ya virusi mwili na kuzaliwa/ kujengwa virusi wapya wenye madhara waitwao kitaalamu herpes simplex virus(HSV) wasababishao ugonjwa wa malengelenge na hatari zaidi ni kupatiakana kwa Human immunodeficiency virus (HIV) washambuliao kingamwili.

Kulazimika kwa ndoa katika uislamu kuna hekma kubwa ambayo huyaepusha haya na pia kuyaepusha haya Allah (sw) amewalazimisha wanawake na wanaume kudumu katika jimai ya ndani ya ndoa. Mwanamke anapokea viambato vya mwanaume mmoja tu kwa namna ya maumbile aliyowaumbia Allah (sw) na sikinyume na hapo, kuyaasi haya ndipo zinakuja adhabu za mungu zinazotibika na zisizo na tiba kama UKIMWI.
Wataalamu wanasemaje katika uwezo wa uzalishaji na haja ya jimai:
Mwanaume wakawaida mwenye nguvu, mzima wa mfumo wa uzazi ana uwezo wa kuwahudumia wanawake watatu hadi wane kwa haja zote mbili za kuwatosheleza kwa mahitajio na akshi za kimwili pia kwa majenzi ya uzazi na kuzaliana, kwani wanaume wameumbiwa uwezo wa kutengeneza mbegu na mshindo wa jimai zaidi kuliko wanawake.
ALLAH AALAM.
YAMEKUSANYWA NA SULEIMAN ABDALLAH.

KWANINI MANII SIO NAJISI LAKINI MKOJO NI NAJISI?

MAKALA HAYA YANAENDELEA KUTOKA MAKALA YA KWANINI TUNAOGA JANABA
Manii si uchafu wa najisi kwa mjengo wake aliotuumbia Allah bali uchafu wa hali na kinai kwa ilipodondokea na hii ni kwa matashi ya binaadamu.
Turudi kutazama manii ni nini?
Manii ni kimiminika kijulikanacho na kubeba tafsiri ya lugha ya kitaalamu kama “SEMEN” kitolewacho (ifahamike manii hutolewa hayatoki yenyewe kama madii) na sehemu ya uume kwa mwanaume kama matokeo ya mshindo, mshushio, na upeo war aha na nakshi ya jimai ifahamikayo kitaalamu kama “Orgasm” na huwa na viambato na tabia zifuatazo:

A. Manii ndani yake kuna mbegu (sperms):
i. Mbegu hizi ndio asili ya uzazi na mjengo wa mwanaadamu zinatengenezwa katika makende (nje ya joto la ndani ya mwili). Mbegu hizi hujengwa na vitu viwili Chromosomes na gamates or male germ cells zenye Cytoplasm, vitu hivi viwili ni viambato vinavyopatikana katika vipimo vya DNA. (kuna X-chromosomes na Y-chromosemes)
ii. Katika mbegu hamna asili yeyote ya uchafu wala najisi bali katika vitu viwili tulivyovitaja hapo juu kuna vaiambato kama Vitamin (C&B12), Madini (Calcium, Magnesium, Pottasium, Phosphorus na Zinc) na Sukari(Fructose na Sorbito).
iii. Mbegu zenye manii ndizo zitolewazo, hazitoki zenyewe katika mwili wa mwanaume, sababu na kazi ya mbegu katika manii ni kupevusha mbegu za kike (Ova) katika jimai mgegu katika manii ni 10% tu.
iv. Mbegu (sperms) ifahamike kuwa ndani ya makende/korodani huhifadhiwa katika kiungo mfano wa koili kwa siku mwanaume mwenye afya hutengenza kati ya mbegu 70-150 milioni na huchukua wiki 10 mbegu 1 kupevuka na mbegu zilizopevuka katika koili hiyo hukaa takribani masiku 40 kabla ya kutolewa au kuvunjwavunjwa na kufyonzwa na mwili. Hapa tunajifunza na kugundua hamna haja ya kuzitoa mbegu kwa nji mbadala kama wanaotetea na kutoa elimu ya Punyeto, kwani Mola katuumba vema hamna haja ya kuvuka mipaka.Manii haijengwi na mbegu pekee bali pia kuna viambato kama ifuatavyo;

B. Manii pia ndani yake kuna kiambato krozomu kiitwacho “Seminal Plasma” kiambato hiki hutokana na maji yajijengayo na kutokana na damu ni kiambato kikubwa na muhimu katika manii huchukua zaidi ya 60% , kiambato hiki kipo katika hali ya kimiminika na hutolewa na tezi za mwanaume ziitwazo “Prostate Gland” zenye muundo wa “O” zizungukazo katika tundu mkabala na la mkojo. Kiamabato hiki hulinda mbegu na kuilisha kipindi cha safari yake ndefu mpaka katika mbegu za kike
NB: Eneo la mfumo wa uzazi wa mwanamke lina tindikali (acids) mno kwa kiwango ambacho seli za mbegu za kiume kuhimili maisha/kukaa na hivyo ndani ya “seminal Plazma” kuna viamabato vingi vya Alkalini vinavyoshindana na Acid ila ni kwa uchache mafanikio huwa na kwa namna hiyo mbegu chache hufika katika kupevusha yai la mwanamke, mara nyingi moja na kwa uchache mbili,tatu au nne kwa mapenzi ya Allah(sw).
Alkali iliyopo hapa hulinda gamets za kiume.
C. Manii pia ndani yake kuna tezi viambato ziitwazo “Seminal Vesicle” ambazo huyapa manii nguvu ya msukumo huyabeba seminal plasma tezi hizi hukaa pamoja na golegole /utelezi au kamasi/ute/utando utokanao na maji ya damu ambayo huizunguka mbegu ute huu ndio wenye protini kama chakula cha mbegu katika safari yake hadi katika ukuta wa uzazi.
Katika manii kuna viamabato kama “CITRIC ACID, “Kwa yakini mchanganuo wa kikemia wa kimiminika hiki manii, umedhihirisha kwamba pamoja na vitu vingine unahodhi kiwango kikubwa cha “phosphoric acid” na “calcic acid”. Na zote mbili hizi ni maada kima zenye taathira adhimu katika ujenzi wetu wa kimwili (kama wanadamu). Sodium na Zinc” pia kuna “Enzymes” hufanya sehemu ya asilimia zilizobaki, viamabato hivi utokaji wake hupita katika mishipa ya mwili na kuipasha ua kuichoma kwani vina moto na tindikali.

Nukta hii hutuleta Katika pointi ya msingi ya kujibu swali letu la msingi

Kwanini tunaoga Janaba?
“Kwanini tunaoga kwa kutokwa na manii ambayo si najisi”

Katika VIAMBATO hivi vya mwisho vya manii ndivyo hekma ya kitaalamu ya kupatikanika kuoga, kwani kwa athari ya mishipa ya mwili kuchomwa na maji ndicho kiungo pekee kinacho kuwa na uwezo wa kuipooza na kuipa nguvu yake ya asili, ifahamike kuwa :-
Kitaalamu maji ni muunganiko wa hewa mbili yaani “Hydrogen mbili (H2) na Oxygen moja (O) = H2O. Hivyo kwa zoezi la kushusha manii hufanya nguvu kutumika na husimamisha vinyweleo baada ya kumalizika zoezi lile katika kipindi hicho vinyweleo huwa wazi, hivyo unapooga maji hewa ile ya Oxygen na Hydrogen husafiri kwa kupitia vinyweleo kwenda kuiipooza mishipa na athari ya Acid na viambato vya mpito wa enzymes. Hivyo Allah akatutaka kuoga sio kuwa antuonea bali kwa kuwa ndiye aliye tuumba antufahamu na hatuna budi kuifuata amri yake hii ya sura ya 5 (Almaidah):6.
Acid hii ipatikanayo katika manii ni aina ya Citric yenye sifa za kelegeza baada ya kuchoma tokea yanapojikusanya hadi kutoka kwa aitoaye na inayemwingia pia hivyo hekma ya maji pia ni katika kurudisha nguvu ya mwili yaigusapo ngozi, Wataalamu wanatushauri kwa janaba tuoge maji ya kati yasiyo baridi sana kuliko ya moto kwalengo la kuirudisha hali ya mwili vema.

Hekma ya kutowaingilia wanawake nyuma na athari kwa Mashoga.
Wanaume wanaoingiliwa (mashoga) huathiriwa na kulegezwa na acid hii na pia kwa kupatikana virus wanaokosa mahali pakwenda kukaa hivyo hukosa haiba ya ukakamavu wa kiume na kuwa na haiba na mihemuko ya kike haya huwa matokeo ya athari za viambato alivyoumba mungu kwenda kukaa mahali Fulani kwenda kuwekwa kwengineko vivyo hivyo kwa wanawake waingiliwao nyuma Allah amekataza, kwa kufanya hivyo kitaalam kuna athari kubwa kwani hmna makazi sahihi ya viumbe/viambato alivyowaumba katika manii.

Kwanini manii si najisi?
Pia turejee swali letu linguine la msingi juu ya Utambuzi wa kunajisika manii:
“Je manii kwanini si najisi?”
Katika muda wa kipindi cha msisimko na hisia za kijinsia(mapenzi) na mahitajio pia wakati wa kufika kileleni manii husafirishwa na nguvu ya seminal vesicle tulizozizungumzia juu kama tezi viambato husafirishwa kwa njia ya mirija iitwayo “Vas Deferens” hivyo hayanajisiki kwa namna yeyote japo huonekana kutoka katika njia moja na mkojo, kinachofanyika kwa yale maji yanayotoka kabla ya manii yenyewe huwa najisi nay ale maji yanayotoka pekee bila manii huwa najisi vilevile(hapa ni katika pointi ya madhii na madii) kwa kupita njia isiyo mrija wa Vas Deferens. Katika njia ya Vas Deferens manii hupata kimiminika chenye kuwa na Sukari ya Fructose inayoongeza nguvu ya msukumo kama mafuta ya roketi (Bit like Roket fuel) na pia kuingiwa na tezi kama Prostate gland, Cowper gland pamoja na hiyo Seminal vesicle gland, tezi hizi hupunguza nguvu ya tindikali itokayo katika njia ya uchafu na nguvu ya mwili na pia mkojo hivyo kuifanya manii kuwa safi na salama itokapo, haiwezi kuwa najisi huu ndo ukweli juu ya manii kwa mujibu wa wataalamu pitia kitabu cha “Science; Spermatogenesis in Man, An Estimate of Its Duration” By Dr. C.G. Heller 1963 (Armenia medical Network) ..

ALLAH AALAM.
YAMEKUSANYWA NA SULEIMAN ABDALLAH.

KWANINI TUNAOGA JANABA?

Kwanza kabla sijafafanua tujue kabisa kuoga Janaba ni amri ya Allah ipatikanayo katika kitabu chake kitukufu isemayo:
....وَإِنْ كُنْتُمْ جُنُبًا فَاطَّهَّرُو......(5:6)
((Na mkiwa na janaba basi ogeni)) [Al-Maidah :6]
Sasa tutazame kwa nukuu na swali lifuatalo kisha tutaeleza kitaalamu hekima ya mafunzo na shuruti hii ya kuoga janaba.

Kuna swali liliulizwa katika tovuti ya www.alhidaaya.com kuhusu janaba na kuoga kwake nalinukuu kama lilivyo tuweze kupata faida zaidi:
SWALI:
Naomba inshaallah unieleze kidogo namna ya wanawake wanavyotakiwa kuoga janaba baada ya maangiliano na mumewe. Kwa sababu jambo la kuingiliana baina ya mume na mke linafanyika kila bada siku chache tu, sasa kwa vile wanawake wanajisikia uzito kuosha nywele kila siku kichwa kizima, kwa sababu ni jambo la mara kwa mara bila shaka kuna tofauti na kuoga baada ya wanawake kupata period au baada kujifunguwa.
Tulikuwa na shekh mmoja na kwake tulisoma hii habari namna ya kuoga wake zetu baada ya maangiliano,lakini sikumpata sawa sawa, kwa kumbu kumbu zangu alitusomesha kwamba just wanaweza kupaka kwenye kichwa, kwa kutia maji kwenye mikono halafu wakatiya vidole chini ya mizizi ya nywele, (hii ni baada ya maangiliano sio muogo wa baada ya period au kuzaa) na akanukuu kwa kuitaja ile aya inayosema, kwani dini hii ya Kislamu ni rahisi .
________________________________________
MAJIBU:
Kuna Mas-ala mawili hapa katika Swali hili nayo ni:
1) Ghuslu ya Janaba ni sawa na ya Haydh na Nifaas?
2) Vipi mwanamke afanye Ghuslu ya Janabah?
Mas-ala ya kwanza:
Ghuslu ya Janaba, ya Haydh na Nifaas yote ni moja tu nayo ni kuosha viungo vyote vya mwili kutokana na kauli ya Allaah سبحانه وتعالى :
وَإِن كُنتُمْ جُنُبًا فَاطَّهَّرُواْ
((Na mkiwa na janaba basi ogeni)) [Al-Maidah :6]
Vile vile:
وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الْمَحِيضِ قُلْ هُوَ أَذًى فَاعْتَزِلُواْ النِّسَاء فِي الْمَحِيضِ وَلاَ تَقْرَبُوهُنَّ حَتَّىَ يَطْهُرْنَ
((Na wanakuuliza juu ya hedhi. Waambie, huo ni uchafu. Basi jitengeni na wanawake wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka watwahirike))[Al-Baqarah: 222]
Kutoharia ni maana pia kukoga
Na dalili kwamba kujitia tohara ni kukoga imo katika aya hii:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ لاَ تَقْرَبُواْ الصَّلاَةَ وَأَنتُمْ سُكَارَى حَتَّىَ تَعْلَمُواْ مَا تَقُولُونَ وَلاَ جُنُبًا إِلاَّ عَابِرِي سَبِيلٍ حَتَّىَ تَغْتَسِلُواْ
((Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali mmelewa, mpaka myajue mnayo yasema, wala hali mna janaba – isipo kuwa mmo safarini – mpaka mkoge)) [An-Nisaa: 43]
Kwa hiyo ni wazi kwamba kukoga (ghuslu) ni kuosha viungo vyote vya mwili.
Taratibu ya Ghuslu:
Kwanza kabisa ni kutia 'Nia' ambayo inawekwa moyoni wala haitajwi kwa kusema au sivyo itakuwa ni kitendo cha Bid'ah.
Kisha ni kujisafisha vizuri na katika Haydh na Nifaas mwanamke ajisafishe na 'Misk' mwishowe baada ya kujimwagia maji ili atoe athari ya harufu ya damu chafu katika sehemu zake.
Ghuslu ya Janaba kama alivyokuwa akifanya Mtume صلى الله عليه وآله وسلم
1. Kuosha mikono mara tatu.
2. Kuosha sehemu za siri
3. Kufanya wudhuu kama wudhuu wa Swalah.
Wakati mwingine Mtume صلى الله عليه وآله وسلم alikuwa akichelewesha kuosha miguu mpaka mwisho kama ilivyokuja katika hadiyth nyingine.
4. Hakikisha maji yanaingia katika nywele kwa kugusisha utosi mara tatu.
5. Jimwagie maji mwili mzima kwa kuanzia upande wa kulia, kisha wa kushoto, na kuosha chini ya kwapa, masikioni, pembeni mwa sehemu za siri, katika vidole vya mguu na sehemu zozote nyingine za mwili zilizokuwa wepesi kusugua. Hii kutokana na hadiyth kutoka kwa bibi 'Aishah رضي الله عنها
عن عائشة رضي الله عنها أن النبي صلى الله عليه وسلم كان إذا اغتسل من الجنابة يبدأ فيغسل يديه،
ثم يفرغ بيمينه على شماله فيغسل فرجه ثم يتوضأ وضوءه للصلاة ، ثم يأخذ الماء ويدخل أصابعه في
أصول الشعر حتى إذا رأى أنه قد استبرأ حفن على رأسه ثلاث حثيات ، ثم أفاض على سائر جسده
، رواه البخاري ومسلم
Kutoka kwa bibi 'Aishah رضي الله عنها kwamba Mtume صلى الله عليه وآله وسلم alipokuwa akioga Ghuslu ya Janabah alianza kwa kuosha mikono, kisha akijimwagia maji kuanzia mkono wa kulia na kwenda mkono wa kushoto, na akiosha sehemu zake za siri, akifanya wudhuu wa Swalah, akijitia maji kichwani na kufikisha kwa vidole vyake katika mizizi ya nywele mpaka aone kuwa ngozi imeshika maji, kisha akijimwagia maji kichwani mara tatu na kisha mwili mzima. Al-Bukhari na Muslim
وفي رواية لهما : ثم يخلل بيديه شعره ، حتى إذا ظن أنه قد أروى بشرته أفاض عليه الماء ثلاث مرات
Na katika riwaya imesimuliwa: 'alikuwa akipitisha vidole vyake kwenye nywele zake mpaka anahakikisha kuwa maji yamegusa ngozi kisha akijimwagia maji mwili mzima mara tatu
Ghuslu ya mwanamke pia huwa ni sawa na ya mwanamume isipokuwa kama mwanamke ana nywele zilizosukwa hana haja ya kuzifungua bali ni kujimwagia maji na kuhakikisha maji yanagusa ngozi. Lakini kama ana nywele nyingi sana na zimesukwa kwa kukazwa sana basi ni bora afungue ili kuondoa khofu ya kutokufika maji katika nywele zote na ngozi.
أم سلمة رضي الله عنها ، أن امرأة قالت يا رسول الله ، إني امرأة أشد ضفر رأسي ، أفأنقضه للجنابة ؟ قال :( إنما يكفيك أن تحثي عليه ثلاث حثيات من ماء ثم تفضي على سائر جسدك ، فإذا أنت قد طهرت ))) رواه أحمد ومسلم والترمذي وقال : حسن صحيح
Ummu Salamah amesema kwamba mwanamke alimwambia Mtume صلى الله عليه وآله وسلم "Ewe Mtume صلى الله عليه وآله وسلم mimi ni mwanamke mwenye nywele nyingi nzito zilizosukwa, je, inanipasa nizifungue ili nioge (ghuslu) ya Janaabah? Akasema Mtume صلى الله عليه وآله وسلم ((Hapana, inatosha kwako kujimwagia viganja vitatu vya maji kichwani mwako na kisha jimwagie maji mwili mzima na baada ya kufanya hivyo utakuwa umeshasafishika)) [Ahmad na Muslim na Tirmidhiy akasema ni Hadiyth Hasan Sahihi]
سألت أسماء رضي الله عنها عن غسل الجنابة فقال: فقال (( تأخذ ماء فتطهر ، فتحسن الطهور ، أو تبلغ الطهور . ثم تصب على رأسها فتدلكه . حتى تبلغ شؤون رأسها . ثم تفيض عليها الماء)) . فقالت عائشة : نعم النساء نساء الأنصار ، لم يكن يمنعهن الحياء أن يتفقهن في الدين رواه الجماعة إلا الترمذي .
Asmaa رضي الله عنها alimuuliza Mtume صلى الله عليه وآله وسلم vipi kuoga Janaabah. Akasema: ((Achukue maji na kujisafisha, kwa kufanya wudhuu, kisha ajimwagie maji kichwani na asugue mpaka ahakikishe kuwa yamefika katika mizizi ya nywele na kisha ajimwagie maji mwili mzima)) Akasema 'Aishah: Uzuri wa wanawake ni wanawake wa Ki-Ansaar haiwazuii hayaa kujifunza dini yao [Imesimuliwa na kundi isipokuwa At-Tirmidhy]
Kwa hiyo ni dhahiri kutokana na Hadithi hizo kwamba mwanamke inapasa ahakikishe katika kuoga kwake maji yawe yanagusa ngozi ya kichwa chake, ikiwa ni kwa kujimwagia maji kichwani au kwa viganja vitatu vya maji vilivyojaa.
Ama kupangusa tu kichwa (Wiping) bila ya maji kufikia ngozi haifai kwani hii si maana ya 'Ghuslu'.
Kitaalamu: Tunapata hekma kwa maelezo yafuatayo.

Kama tulivyoona tafsiri ya Janaba ni hali anayokuwa nayo mtu baada ya kuingiliana mwanamke na mwanaume ama kuingiliana na kiumbe au kitu kingine au kutokwa na manii kwa hali yeyote.
Ifahamike kuwa manii si najisi kama ilivyo kwa Madhii, Madii na Mkojo. Kisheria nguo iingiapo manii yafaa kuswalia baada ya kuyakwangua au kuyafikicha kwa kukauka kwake ila si kwa Madii au Madhii na Mkojo.

ALLAH AALAM.
YAMEKUSANYWA NA SULEIMAN ABDALLAH.

Monday, April 11, 2011

Shetani huwa taabani mja anapoabudu,
tena hua mashakani tunapodumisha undugu,
mapenzi yetu waislamu humuongezea tabu,
hali yake huwa duni pale tunaposujudu,
kule kumtaja manani pekee tunamuadhibu,
tuzidishe ibada azidi kupata tabu,
itakapofika Qiyama peke yake apate tabu...
Amin Inshaallah
HAWA NDO BINADAMU: wakikukwepa usijali, ipo siku watakutafuta..
wakikusengenya nyamaza, huenda wakajifunza....
wakikununia omba Mungu, ipo siku watakuchekea....
wakikupongeza usiwaamini labda wanakutania....
wakikutenga achana nao, wao si kila kitu...
wakikudhulumu shukuru, Mungu atakulipa....
KUWA MAKINI KATIKA MAISHA YAKO!!
Think, how many stopped breathing since the year started?
how many bad accidents which left them disabled?
how many are lying in the hospitals with no hope of recovering?
how many are mad,eating from the garbage and sleepless?
WHY IT IS NOT YOU???
its time to say THANKS TO ALLAH cause he loves you and has made you strong while you did not even ask for it....
SAY ALHAMDULILLAH FOR EACH AND EVERYTHING ALLAH (S.W) GAVE YOU

Sunday, April 3, 2011

JE WAJUA UNDANI WA TIBA YA KIKOMBE??!!!

NA KHALID BILAL
Assalaam alykum,
Hivi karibuni kumezuka tiba ya ajabu ambayo imewashangaza wengi kitaifa na hata kimataifa, tiba hiyo ambayo ipo kiimani zaidi kutokana na madai ya hao wanaotoa tiba hiyo kudai kuwa wameoteshwa na Mungu/bikira maria/krsito/mizimu pia kufanikiwa kwa tiba hiyo kunategemea na imani ya mtu juu ya tiba hiyo kuwa inaponya, pia wanadai kuwa tiba hii inatibu magonjwa sugu ya aina yoyote kama vile kansa, presha, kisukari, ukimwi na mengineyo.
Cha kushangaza zaidi juu ya tiba hii ni juu ya asili ya tiba hiyo na kwamba tiba hii haina dozi, ni kikombe kimoja mpaka viwili na ugonjwa wako huondoka lakini pia tiba hii hupatikana kwa kuchemshwa mmea ambao kwa baadhi ya jamii mmea huo hujulikana kama ni sumu.
Nao watanzania wajikuta wanaipokea tiba hii moja kwa moja bila kujiuliza na kufikiria kwa umakini ukweli na undani wa tiba hii, kuna baadhi ya waliopata tiba hiyo wanadai wamepona na wengine wanadai bado hawajapona. Nayo serikali ya Tanzania yaingilia mambo ya kiimani na baadhi yao kupelekea kuingiliana katika majukumu ya uongozi pia viongozi wa dini nao hawakuwa nyuma katika hili. Haya yote si kwamba nimeyatoa kichwani bali ni kupitia ushahidi wa magazeti mbalimbali na usikilizaji wa redio. Ngoja tuanze kujua undani wa:
TIBA YA BABU LOLIONDO
Mchungaji Mstaafu wa KKKT (Babu), Ambilikile Mwasapile, umri (78) aishie kijiji cha Samunge, Loliondo, wilaya ya Ngorongoro, mkoa wa Arusha. Ni mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini na Kati, ambapo alitumikia utumishi huo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20, alifanya kazi hiyo kwa uadilifu uliotukuka na kazi yake imekuwa mfano wa kuigwa na wengine mpaka leo. Mchungaji huyu mstaafu alianza kutoa tiba ya kikombe Agosti 2010 huku akisema hadharani wala hakusema kwa siri kuwa dawa yake imepata uponyaji wa kimungu, kwa maana kuwa kinachoponya sio ile dawa bali ni neno la Mungu kwenye ile dawa. (Gazeti la Tanzania daima 30-03-2011)
Mchungaji huyo alisema “Nimefanya kazi za uchungaji tangu mwaka 1967 katika sehemu kadhaa nchini hadi mwaka 1989 nilipohamishiwa katika eneo hilo. Na nimefanya kazi za uchungaji hapa hadi nilipostaafu mwaka 2002”. (Gazeti la Raia mwema 16-03-11)
Pia alisema “Nilianza kuota maono na kusikia sauti ya Mungu tangu mwaka 1991 ikinieleza kuwa nibaki kuishi eneo hili; kwani Mungu alikuwa anataka kunipa kazi maalumu ambayo kwa wakati huo sikuifahamu” (Gazeti la Raia Mwema toleo 176)
Mchungaji Mwasapile amewaambia waandishi kwamba dawa hiyo alionyeshwa na Mungu, na kwamba yeye anakawaida ya kuzungumza na Mungu mara kwa mara. Anadai pia kwamba Mungu ndiye aliyemwambia kwamba aitoze TSh.500/= kwa kila mgonjwa anatakayempa kikombe cha dawa hiyo ambayo ni ya kikombe kimoja cha maji yaliyochemshwa ya mizizi ya mti unaoitwa mugariga au muugamuryaga (kwa lugha ya Kisonjo). Na magonjwa anayotibu ukimwi, kisukari, saratani, kansa, , shinikizo la damu (presha), kifafa na magonjwa mengine sugu ambayo yamekuwa yakitishia uhai wa maisha ya Watanzania wengi.(Gazeti la Raia Mwema 22-03-11)
KHALID: Hapa ni wazi kuwa tunataka tubadilishwe imani zetu bila ya wenyewe kujua, hakuna mwenye uwezo wa kuzungumza na Mungu isipokuwa Mitume na Manabii nao wameshaisha/wameshafariki, Je huyu ni Mtume/Nabii au TAPELI? Huu ni mpango wa kanisa katika kutufanya tumshirikishe Mungu, yani tuwe WASHIRIKINA.
Inaendelea, Gharama ya tiba hiyo ni Tsh 500/= ambapo Tsh 200/= ni kwa ajili ya kanisa, Tsh 200/= kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi wake na 100/= ndo yake binafsi, Lakini hata hiyo, Sh 100 ambayo inakwenda kwake haitumii, kwa sababu anasema kila kitu kuhusiana na dawa hiyo ni kwa mujibu wa maono aliyopewa na Mungu, hivyo hata hizo Tsh100/= hatazitumia hadi pale Mungu atakapompa maelekezo. Ni mti huo huo unaotumiwa na Babu wa Loliondo kuponya ambao Wagogo wao huutumia kama sumu kwenye mishale yao; wenyewe wanauita “usungu”! (Gazeti la Raia Mwema 30-03-2011)
Baadhi ya majina ya mmea wa babu ni pamoja na angelica archangelica, na jina jingine linalorushwa ni mmea wa Carissa edulis na jina ambalo limetushtua wengine ni lile la mmea wa antiaris toxicana. Mimea yote hiyo mitatu ina sifa za madawa.
Mmea wa Carisa edulis - nao una sifa kadha wa kadha za kimadawa Kuanzia mzizi, magamba na majani yake yote yana sifa ya kutumika kimadawa. Na umetumika sehemu nyingi duniani kama tiba vile vile, Baadhi ya sifa zake nayo ni kutumika kupunguza maumivu. Unaweza pia kusaidia kutibu saratani na magonjwa mengine.
Mmea wa angelica archangelica - unajulikana sehemu mbalimbali duniani kutumika katika tiba za mitishamba, na watu kadhaa katika historia wamewahi kudai kuoteshwa ndoto juu yake ili wautumie kwa ajili ya uponyaji tangu karne ya 12, Baadhi ya sifa zake za kitabibu ni pamoja na kupunguza maumivu, na kusisimua mfumo wa kinga za mwili na hata kushambulia maambukizi ya bakteria na virusi.
Mmea wa antiaris toxicana - huu hujulikana kama mkuki wa sumu. Unajulikana hivyo kwa sababu tangu kale sumu yake imekuwa ikitumiwa kuweka kwenye mikuki na mishale kwa ajili ya mapigano na inadaiwa ni sumu kali sana. (Gazeti la New Habari 21-03-11)
Babu amesikika akisema yafuatayo, kuna watu ambao wameanza kuwaambia vijana wa huku kwetu ambao wanajua miti hiyo tunayoitumia kwamba wawachimbie, na wapo ambao wameshachimbiwa tayari kwa lengo la kwenda kutengeneza dawa. Akaendelea kusema:
“Sasa nawambia ya kwamba si kweli, huo ni wizi sikubali mtu yoyote mahali popote kupewa dawa na mtu kwamba mimi nimeitambua dawa hiyo, Mungu hakuagiza hivyo, naomba taifa letu lijaribu kuwatangazia mataifa mengine kuwa dawa ya aina hiyo haitakuwa dawa, hadi pale Mungu atakapoagiza vinginevyo.
“Kwa wakati huu amemruhusu mtu mmoja tu ambaye ni mimi kutoa dawa hii, nitakapochimba dawa hiyo na mwingine akachimba, Mungu ameniambia kuwa ya huyo mtu si dawa, kwa hiyo watu wasidanganywe na matapeli”
“Kuhusu masharti ya dawa hakuna, ila mimi nimeweka sharti moja, si Mungu, nawaambia watu kwamba ukitumia dawa hii basi kama wewe ni mtumiaji wa pombe usinywe siku uliyokunywa dawa na kama sharti hili lisingekuwa sawa, basi Mungu angeniambia.”
“Nimesema hivi dawa nnayotoa ina nguvu za Mungu, kwa hiyo inashika pahala pa dawa alizokuwa akitumia mgonjwa, sasa ni hiari ya mtu kuendelea kuzitumia au kuziacha. Pia dawa hii inatibu kila ugonjwa maana watu wameniletea taarifa walipopona ugonjwa fulani,wamesema hata magonjwa mengine waliyokuwa nayo yamepona, lakini pamoja na hayo sio kinga, ni ya kutibu aje mtu ambaye ni mgonjwa anaumwa”. (Gazeti la New Habari 21-03-2011)
KHALID: Mbona mambo mengine anajiamulia yeye mwenyewe bila ya kuambiwa na Mungu? Kama tiba ni mti na si imani mbona anawazuia watu wasiutumie? Hapa ASITUDANGANYE, tiba hii ni ya imani ya kikristo na si mti, hivyo tukimfuata tutakuwa tumefanya shirki tena shirki kubwa.
Ngoja tupate majibu ya baadhi ya wagonjwa walokunywa kikombe cha babu, baadhi walisema wamepona na baadhi waliyasema haya;
“Bado sijisikii vizuri ila naomba usiandike mambo yangu kwenye magazeti….dawa niliyokunywa ilifanya kazi kwa siku mbili tu na baada ya hapo ugonjwa umeendelea kama kawaida,” alieleza mgonjwa huyo kwa kifupi akiwa katika hospitali hiyo binafsi (jina limehifadhiwa)
“Bado ugonjwa unaniandama ndugu yangu. Sijapata nafuu yoyote na dawa niliyokunywa Loliondo haijanisadia hata kidogo…..nimeona niendelee tu na matibabu ya hospitali kama nilivyokuwa nafanya awali,” alisema mgonjwa anayeishi Mombo mkoa wa Tanga mwenye asili ya uarabu
“Ukweli ni kwamba bado nina virusi baada ya kufanyiwa vipimo katika hospitali ya Selian. Bado virusi vipo. Nilikuwa nataka kurudi Loliondo nikanywe dawa kwa mara ya pili lakini nimeambiwa tiba ya Babu ni mara moja na hairudiwi tena,” alisema mgonjwa wa ukimwi (jina linahifadhiwa) (Gazeti la Raia Mwema 22-03-2011)
Sasa ngoja tujue nini kilichotokea baada ya viongozi wa dini wa KKKT na wengineo walichokifanya juu ya uendeshwaji na utolewaji wa tiba hii ya kikombe ya Mchungaji Mstaafu:
NI Agosti 25 mwaka 1989 katika ukumbi wa mikutano wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ulioko Oldonyosambu wilayani Arumeru ambako wachungaji 103 wa Kanisa hilo wamekutana wakimsubiri Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini na Kati, Thomas Laizer.
Walikuwa wanakutana kumchagua Mchungaji atakaye kwenda kuziba pengo lililoachwa wazi na Mchungaji Simeone Kiserian wa usharika wa Sonjo mtaa wa Samunge ambaye alikuwa amefariki dunia.Wengi walitarajia suala hilo lingekuwa moja ya ajenda ngumu kutokana na watumishi wengi kutopendelea kwenda eneo hilo kufanya kazi ya kueneza injili kutokana na mazingira magumu ya kazi yaliyopo katika wilaya hiyo ya Ngorongoro.
Mchungaji aliyekubali kwenda kufanya kazi ya kueneza neno la Bwana hakuwa mwingine zaidi ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile ambaye alijitokeza kwa hiari yake mwenyewe kuwa alikuwa tayari kwenda eneo hilo kufanya kazi na kuziba pengo lililoachwa wazi.
Ni Mchungaji huyo ambaye sasa ana miaka 78 na akiwa tayari amestaafu kazi tangu mwaka 2002 ndiye amekuwa gumzo kubwa nchini kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa kutokana na madai kuwa amegundua dawa ya ajabu ambayo imekuwa inatibu maradhi sugu kama ukimwi, kansa, kisukari, pumu, shinikizo la damu na mengineyo.
Thomas Laizer na Maaskofu wenzake wawili wa Kanisa hilo na wajumbe wa watu 21 walikwenda Samunge kujionea tiba hiyo na baada ya kuridhika kuwa inatolewa kwa kufuata taratibu za Kikristo walikunywa dawa ya Mchungaji huyo na tayari wanajisikia nafuu baada ya kuinywa. Babu wa Liliondo ni kama vile Padri Nkwera, anafanya kazi ambayo kanisa na Serikali wameshindwa kufanya au hawana uwezo kuwafikia wagonjwa wote. (Gazeti la Raia Mwema 22-03-2011)
Kama hiyo haitoshi, Mchungaji Mwaisapile arudishwa kazini. Wakati Babu Mwasapile akizidi kuvuta watu, Kanisa lake la KKKT limemrudisha kazini kwa kumwongezea mkataba wa ajira usiyo na kikomo, ikiwa ni miaka minne baada ya kustaafu, hivyo kumwezesha kuendelea kupata mshahara na stahili zingine.
Ajira hiyo isiyo rasmi imetokea kwa mchungaji huyo mara baada ya kudaiwa kupata karama kutoka kwa Mwenyezi Mungu na kuanza kutibu magonjwa sugu yakiwemo kisukari, saratani na UKIMWI kwa kile kinachoelezwa kuwa tiba hiyo inafanyika kwa njia ya imani na kimaombi.
Kuajiriwa upya kwa mchungaji huyo kutamwezesha kupata mshahara kama kawaida na kusitisha pensheni aliyokuwa akiipata kama mchungaji mstaafu.
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini na Kati, Thomas Laiser alithibitisha kurudi kazini rasmi kwa mchungaji huyo jana, akisema kanisa hilo limetafakari na kubaini umuhimu wa mchungaji huyo katika dayosisi hiyo na taifa kwa ujumla, na kumrudisha ili atumikie umma akiwa ndani ya kanisa hilo.
Alisema mchungaji huyo alipewa kazi hiyo na Mwenyezi Mungu tena kazi kubwa kuliko hata ile aliyokuwa akiifanya kabla ya kustaafu, hivyo iwapo ametukuzwa na Mungu kiasi hicho vipi wao wasimjali na kumweka katika himaya ya kanisa.
Mchungaji Mwaisapile ambaye atabakia katika Usharika cha Sonjo alipokuwa akitumikia awali, alistaafu baada ya kulitumikia kanisa hilo katika maeneo mbalimbali, ukiwamo Ushariki wa Babati Mjini, Mkoa wa Manyara kwa miaka saba kabla ya kuhamia Sonjo alikotumikia kwa miaka 12 hadi kustaafu. (Gazeti la Majira 22-03-2011)
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania, Alinikisa Cheyo amewaonya viongozi wa dini wanaojiita mabingwa wa uponyaji wanaoponda matibabu ya mchungaji Ambilikile Mwasapile wa Kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro na kuwataka kuacha tabia ya kukaa kwenye maombi ili Mungu awajibu. Alisema “nawambia ndugu zangu katika siku za sasa watu wamekuwa wakiamini sana habari ya Loliondo na kila leo kumekuwa na taarifa za Loliondo, mimi nasema kuwa kinachoponya ni imani ya mtu anayekwenda huko na bila imani atakuwa amepoteza muda kwani mchungaji Mwasapile anamtegemea Mungu”.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Thomas Laiser amewataka wanaochonga juu ya tiba hiyo wafunge midomo yao badala ya kuzuia watu wasikimbilie huko. “Tunachoamini tiba hiyo ina mahusiano makubwa na imani na maombi, na katika maombi kuna kukubaliwa mapema, baadaye na maombi mengine kukataliwa kabisa. Mambo ya Kimungu ni ya Mungu ni vigumu kuyabadilisha kibinadamu, nimekuwa nikipata simu nyingi toka Rwanda, Uganda, Burudi na kwingineko kuom ba mchungaji Mwasapile kubadilisha kituo cha huduma, nawajibu kuwa haiwezekani kwani ni suala la kiimani na maombi hata mchungaji mwenyewe alipenda kutoa tiba hiyo Babati mkoani Manyara alikataliwa”alisisitiza Askofu Laiser. Askofu Thomas Laiser aliendelea kusisitiza kuwa kanisa hilo katika kuhakikisha azma yao inatimia linatarajia kutumia zaidi ya sh milioni 75 katika kuboresha mazingira ya tiba hiyo.
Huduma ya uponyaji inayoendeshwa na Babu imeendelea kuwachanganya baadhi ya viongozi wa dini, wa karibuni kabisa akiwa Mchungaji Christopher Mtikila ambaye ameiponda na kuwaponda waotumia dawa hiyo kutibu maradhi mbalimbali. Licha ya Mchungaji Mtikila kukiri mbele ya waandishi wa habari kuwa dawa hiyo inaponya, ameiponda na kudai kuwa hakuna jipya linaloendelea huko Loliondo. Mchungaji Mtikila jana alitoa mpya pale aliposema 'hata vikombe vinavyotolewa kunywea dawa hiyo ni vya rangi ya kijani na njano, hivyo akadai kwamba hiyo ni zindiko la CCM'. Pia alisema kwamba Loliondo hakuna neno la Mungu, bali ni 'machemsho ambayo wananyeshwa watu bila imani katika Kristo'.



Kiongozi wa Full Gospel Bible Fellowship Askofu Zachary Kakobe wamekuwa wakitoa kauli mbalimbali za kupinga huduma hiyo inayokimbilia na maelfu ya watu wa ndani na nje ya nchi. Askofu Kakobe alivitaja vigezo vya kwenye Biblia takatifu vinavyoonyesha kuwa dawa hiyo si lolote. Kimojawapo kikiwa ni kwamba hakuna huduma ya Mungu ambayo hupangiwa bei! (Gazeti la Majira 21-03-2011)
KHALID: Mbona kanisa linamsimamia kidete Babu wa Loliondo na kuapa kuwa sambamba naye kwa hali na mali? Hii ni wazi kuwa suala la Babu ni la kidini, waislamu tusiwe wajinga wa kumkubali/kuikubali tiba yake kwa njia yoyote ile.
Kuwepo kwa sura kisiasa kulijitokeza wiki mbili zilizopita ambapo Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Haji Mponda alimwagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isidore Shirima kumzuia Mchungaji huyo kuendelea na tiba yake, lakini siku moja baadaye Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera), Wiliam Lukuvi alitengua amri hiyo na kuagiza utoaji tiba uendelee kwa hoja kwamba suala hilo lilikuwa la kiimani zaidi.
KHALID: Ona viongozi ambao tumewapa madaraka ya kutuongoza wanavyoshabikia suala lisilo na mantiki na la kipumbavu. Hivi kiongozi kama huyu anaweza akaleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii kama kuondoa ufisadi na rushwa? WAISLAMU TUWE MAKINI TUCHAGUAPO VIONGOZI.
Makamishna waandamizi na makamanda kadhaa wa Jeshi la Polisi nchini walitinga kwa babu kupata kikombe hicho.Viongozi hao wa jeshi hilo walipata fursa hiyo baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu wa watendaji wa jeshi hilo uliofanyika Chuo cha Polisi Moshi hivyo wakaona watumie furasa hiyo kumfikia Babu kabla hawajarudi katika vituo vyao vya kazi. (22-03-11—majira)
KHALID: Hawa nao ni wana usalama katika jamii, Hivi wananchi tutakuwa salama kweli wakati tulowaweka kutulinda hawana usalama, hawafikiri na kuchunguza kabla ya kutenda? Kwa hakika wananchi hatuna budi tuchukue tahadhari za haraka juu ya viongozi wetu ama si hivyo tutaingizwa gizani(kwenye upotevu ulio mkubwa).
Ya Loliondo yanadhihirisha jinsi Watanzania tusivyopenda kuhangaisha akili zetu kufikiri. Sisi tu wavivu wa kufikiri, na wavivu wa kuchanganua mambo. Tumezoea njia za mkato hata kwenye masuala nyeti kama ya tiba. Na Babu wa Loliondo amekuwa njia ya mkato kwa wagonjwa wengi! Tafakari.
Nayo Serikali haikushighulisha kichwa ktk suala la loliondo, Mchungaji mstaafu wa KKKT, Ambilikile (Babu) alisema hadharani wala hakusema kwa siri kuwa dawa yake imepata uponyaji wa kimungu.Ni neno la Mungu ndilo linatibu. Tena akaeleza kuwa dawa yenyewe ameoteshwa katika ndoto na Mungu, hivyo akakiri kuwa dawa yake ni tofauti na dawa nyingine kwani dawa nyingine mgunduzi ni mwanadamu na zimefanyiwa utafiti, lakini hii ya Loliondo ni ya neno la Mungu lililomjia katika ndoto.
Tunukuu kauli ya serikali na wataalamu wake, “Serikali imesema imeridhishwa na dawa inayotolewa na Mchungaji Ambilikile Mwasapile wa Kijiji cha Samunge, Loliondo ikisema haina madhara yoyote kwa matumizi ya binadamu. Akitoa tamko la timu ya wanasayansi waliofanya uchunguzi wa awali wa tiba hiyo, Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Charys Ugullum, alisema timu hiyo ilianza utafiti wake wa awali Machi 7, mwaka huu. Alisema timu hiyo ilijumuisha wataalamu kutoka Wizara ya Afya, TFDA, Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Mkemia Mkuu wa Serikali na Taasisi ya Utafiti wa Dawa za Asili ya Chuo Kikuu cha Afya ya Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS).
Katika suala hili kwanza serikali imechelewa kutoa tamko, kama dawa hiyo ingekuwa na madhara kwa wanadamu wangapi wangeathirka, na kwanini serikali ilisubiri muda mrefu wote mpaka karibu viongozi wote wa serikali wamekunywa ndipo inatoa tamko. Ni uzembe au kutokuwa makini?
Hivi wasomi hawa wote hawakufikiri hata mara moja kuwa ni ujinga kupima kitu kilichosemwa ni neno la Mungu kwa kutumia vifaa vya maabara?. Tangu lini na wapi ndoto zinapimwa kwa kutumia vifaa vya maabara, Mkemia Mkuu anajua nini kuhusu Elimu ya ndoto?. Dawa inayosemekana inatoka kwa Mungu, inayolingana dozi kwa kila ugonjwa, inayohusisha imani kabisa bila nguvu za kisayansi, kweli serikali ilipaswa kutenga pesa kutafiti kama neno la Mungu linatibu? Serikali yenyewe ingemwona wapi Mungu na kuuliza nguvu ya uponyaji ya huo mti uliokuwepo katika mazingira hayo kila siku?
Serikali bila aibu inasema, “tena kinachofuata sasa tutachunguza kama kweli dawa hiyo inatibu magonjwa hayo matano aliyoyasema Babu. Hivyo wananchi wawe na subira ili watupe nafasi tufanye utafiti wa kina zaidi.” Je, ikitokea kuwa dawa hiyo haitibu watachukua hatua gani?

Mkurugenzi wa Uendelezaji na Uratibu Utafiti kutoka Tume ya Sayansi na Teknolojia, Dk. Rose Kingamkono akasema wanafuatilia ili waweze kujua kama kuna hatimiliki ya tiba hiyo. Aliendelea kusema “Wananchi wasitoe mbegu au mti huo ovyoovyo maana wajanja wanaweza wakauchukua kwenda kutengeneza dawa kisha kuja kutuuzia tena kwa gharama kubwa.” Jamani viongozi wa serikali yetu wanafikiri sawa sawa? Mti upo porini, inasemekana umetiwa nguvu ya uponyaji na Mungu kwa kupitia mchungaji Mwasapile, wala si mtu mwingine, ndiyo maana hata wataaalamu hao wa tiba hadi sasa hawajachukua mizizi kupeleka Muhimbili, Bugando au KCMC kutibu wagonjwa, iweje mtu afikirie neno la Mungu kuwekewa hatimiliki, na kuzuia nguvu ya utendaji au uponyaji wa Kimungu usiende kwingine? Je, mtu mwingine akiota Kenya leo, Uganda kesho na Uturuki wiki ijayo na kupewa uwezo kama wa Mwasapile, serikali yetu itazuia huduma za ndoto za Kimungu katika mataifa mengine kwa kuwa mtanzania ndio alikuwa wa kwanza kuota ndoto na kupewa maelekezo na Mungu?
Msajili wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Paulo Mhame alisema hivi sasa wako katika hatua za mwisho za kumpatia cheti cha usajili Mchungaji Mwasapile. Wanampatia kama mganga wa jadi kwa utaratibu upi?
NDUGU ZANGU TUCHUKUE TAHADHARI JUU YA VIONGOZI WETU, WANATUDHALILISHA KWA MAMBO WANAYOYAFANYA, MBONA HAWASHUGHULISHI VICHWA VYAO. VIONGOZI WENYEWE WANAOHIMIZA KUWEPO KWA TIBA HII WOTE NI WAKRISTO HIVYO TUJUWE WAZI KUWA HAPA KUNA UDINI, PIA WANATETEANA ILI KUUENDELEZA UDINI WAO. WAISLAMU TUWAMKE TUGOMBEE KWA WINGI NAFASI ZA UONGOZI AMA SIVYO TUTARITADISHWA.
Namnkuu Paroko mmoja aliyetupa mawazo ya kujifikirisha kidogo kuwa "Sina chuki wala tatizo lolote na tiba ya Loliondo, lakini kama unataka kwenda lazima ujiulize maswali manne yafuatayo:
Kwanza, tiba inayotokana na miujiza ya Mungu lazima iwe endelevu, isiwepo kwa kipindi kifupi tu.
Pili, watu wajiulize kama miujiza kutoka kwa Mungu huwa na masharti?
Tatu, wajiulize kama tiba hiyo inafanya kazi ndani ya Loliondo, kwanini isifanye kazi Dar es Salaam na kwingineko?
Nne, wajiulize kuhusu tiba hiyo ya magonjwa sugu ukiwemo ukimwi, je, Mungu aliwaumba wanadamu na kisha kuamua kuwaangamiza? Au wanadamu wanaangamia kutokana na vitendo vyao vya ujanja ujanja?” (Gazeti la Tanzania daima 30-03-2011)
Hao ndo yale yalojiri kutokana na tiba ya Mchungaji Mstaafu Ambilikile Mwasapile maarufu kwa jina la ‘Babu’ wa Loliondo. Nao wengine wajitokeza kutoa huduma ya tiba ya kikombe katika sehemu mbalimbali nchini Tanzania, pata hii;
TIBA YA KIKOMBE ROMBO
KUTOKANA na kujitokeza kwa mtu mwingine wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro anayetoa dawa ya kutibu magonjwa sugu kama alivyo Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwaisapile 'Babu', mtu huyo amesitishwa na Ofisa Mtendaji wa Kata kuendelea na huduma hiyo.
Akizungumza na gazeti hili kwa simu, kijana huyo aliyejitambulisha kwa jina la Hilali James, umri (28), alisema endapo Serikali itashikilia msimamo wake wa kuendelea kuisitisha huduma yake, tayari ameoteshwa ndoto kuwa atatokea mtu mwingine ambaye ataendelea kuitoa huduma hiyo.
James alisema huduma hiyo alikuwa akiitoa katika Kijiji cha Mbomani Chini Kata ya Tarakea wilayani Rombo, ambapo masharti yake ni mtu kutakiwa kunywa vikombe viwili kwa wakati mmoja na hairuhusiwi kurudia.
Mbali na kunywa, alisema alioteshwa ndoto kuwa atapokea Sh 500/=, ambazo kati ya hizo, Sh 200/= ni kwa ajili ya matumizi yake ya kuwalipa wafanyakazi, na Sh 300/= za kuwasaidia yatima na watu wasiojiweza. Akizungumzia magonjwa yanayotibiwa na dawa yake, alidai inatibu shinikizo la damu, kisukari pumu, saratani, figo, Ukimwi na magonjwa ya tumbo. Pia alidai tayari watu wapatao 100 wamekwisha inywa dawa hiyo na kupata uponyaji.
Kijana huyo mwenye mke na watoto wanne, alibainisha kuwa awali alikuwa fundi wa baiskeli, na kwamba chanzo cha kuanza kutoa dawa hiyo ni kutokana na kuoteshwa ndoto na Yesu Kristo usiku na mchana. Alisema mti aliooteshwa kuutumia hadi sasa hajaufahamu jina lake, na kuwa ulikuja katika ndoto na hajawahi kuuona tangu kuzaliwa kwake.
Alisema yeye kuibuka baada ya Mchungaji Mwaisapile si tatizo kwa sababu, kila jambo lina wakati wake, hivyo wakati huu ni wake. (21-03-11 Habari Leo)


KHALID: Ndugu zangu waislamu tufumbuke macho. Mbona hizi tiba zote asili yake ni ndoto tu hamna hata maandiko!? Mbona tunataka tubabaishwe na watu wanaoota?! Hivi wangapi mpaka leo wanaota, je wakiamua kutangaza ndoto waotazo itakuaje? Ndugu yangu umizwa kichwa katika kila tukio litokealo ili kujua undani wa tukio hilo na si kukurupuka na kuchukua maamuzi yasiyo na msingi.


TIBA YA KIKOMBE MBEYA
SERIKALI Mkoa wa Mbeya jana ilisalimu amri kwa mganga aliyeibuka akitibu magonjwa mbalimbali, Jafari Welino, umri (17) na kujikuta ikibariki huduma baada ya wagonjwa wanaotegemea huduma hiyo kuandamana na kutishia kulipua Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.
Akijibu maswali kijana huyo aliyeonekana mwenye ujasiri alisema kuwa yeye alipewa kazi hiyo baada ya kutokewa na mzimu (wa mama yake mzazi) katika usingizi/ndoto ambapo alikatazwa kusoma shule na kuoneshwa mti ambao aliambiwa kuwa utakuwa ukombozi kwa watu kwa kuwapa vikombe viwili kwa siku mbili bila ya malipo.
Taarifa ya awali iliyolifikia gazeti la majira la tarehe 29-03-2011 (soma uk. 9) ilisema kuwa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ilikuwa imemzuia kijana huyo kutoa huduma ya tiba kwa madai kuwa mazingira ya utoaji wa huduma hiyo ni machafu na kuwa dawa anayotumia ilitakiwa ifanyiwe uchunguzi ili kuona kama ni kweli inaweza kuponya magonjwa sugu bila kuleta madhara kwa afya za binadamu.
Kutokana na hali hiyo, baada ya wagonjwa waliokuwa wamefika nyumbani kwa kijana huyo eneo la Mabatini, kilomita 2.5 kutoka katikati ya Jiji la Mbeya wakiwa na vikombe mikononi walikubalina kuandamana kwenda kwa mkuu wa Mkoa wa Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Bw. John Mwakipesile alitoa amri kwa kijana huyo kuendelea kutoa huduma huku idara zinazohusika zikifuatilia kuona namna ambayo itafanya, ili kijana huyo aweze kutoa huduma katika hali ya usafi wakati utafiti wa dawa hizo ukiendelea.Katibu Tawala Msaidizi Bw. Chitama alisema kuwa serikali haina ugomvi na waganga wala imani za dini, na hivyo kinachotakiwa kwa kijana huyo ni kuhakikisha anafanya kazi hizo katika mazingira safi ili kutoathiri afya za wagonjwa wake.
Kuhusu kuhama katika eneo hilo, alisema kuwa hawezi kufanya hivyo kwa agizo la serikali badala yake anasubiri mizimu yake iweze kumweleza jambo hilo na sehemu ya kwenda na ndipo atakapoamua kufanya hivyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Bw. Advocate Nyombi alisema yeye anachoangalia ni hali ya usalama wa watu wanaomiminika katika eno hilo dogo kupata huduma, huku akitaka mamlaka nyingine zifanye kazi yake ili kudhibiti uvunjifu wa amani unaoweza kutokea. (Gazeti la Majira 29-03-2011)
KHALID: Sasa basi inatosha, mnataka mpaka mizimu nayo tuiamini? Hakika hii ni shirki kubwa tena ilo wazi kabisa na atakayemshirikisha Mwenyezi Mungu na kitu chochote atakuwa amepotea upotevu ulo mkubwa kabisa. Hivi kwa nini hawa viongozi wetu wa nchi wenye dini isiyokuwa ya kiislamu wanazikubali tiba hizi? Bila shaka si bure ndugu zangu wa kiislamu WANATAKA TUFUATE MILA ISIYOKUWA YA KIISLAMU.


TIBA YA KIKOMBE TABORA
Tiba hii inatolewa na Magreeth mutalemwa, umri miaka (40) mkazi wa Tabora, alianza kutoa huduma hiyo tangu tarehe 21-03-2011. Pia alisema “Nilikuwa nikipata msukumo baada ya kuoteshwa kabla ya tarehe 21 na kuidharau ndoto ile nilianza kupata matatizo lakini baada ya kuanza kufanya yale niliyotakiwa kufanya matatizo yakaisha ndio mpaka leo natibu watu”
Pia aliwazungumzi wenzake ambao wanatoa tiba kama yake kwa kusema yafuatayo “Ah ninavyoona mimi huu ni uwezo wa Mwenyezi Mungu tu, kwani katika uoteshwaji wangu nakumbuka sauti iliniambia tupo watatu na tumetunukiwa roho safi kufanya shughuli hii ya kutoa tiba. Kwa hiyo naamini hao ni wawili na mimi ni wa tatu na ndio tuliotunukiwa”. (keronyingi.blogspot.com tarehe 29-03-2011)
Waandishi wa Dar Leo walishuhudia viongozi wa vituo vikuu vya afya wakifika katika eneo analotoa dawa mwanamke huyo na kuchukua sampuli ya dawa hiyo.Wakati hayo yakiendelea mwanamke huyo Magreth Mutalemwa ambaye anatoa dawa hiyo kwa njia ya maombi kwanza amesema kuwa, anasikitishwa na baadhi ya wajanja ambao wamekuwa wakifika kwa nia ya kumjaribu kwa njia ya ushirikina.
Amesema kuwa, amekuwa akipata majaribu mara kwa mara tangu aanze kutoa tiba hiyo lakini kwakuwa anatumia zaidi imani ya kidini wachawi hao wamekuwa wakishindwa kutekeleza azma yao.Hata hivyo wakati wizara hiyo ikitoa tamko hilo mamia ya wakazi wa mkoa huo pamoja na vitongoji vya jirani wamekuwa wakiendelea kufurika kupata tiba kwa mwanamke huyo.Kutokana na hali hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Liberatus Barlow amemwaga askari wa mkoa huo katika eneo hilo ili kuimarisha ulinzi. (Gazeti la Dar Leo 31-03-2011)
KHALID: Ndugu zangu katika imani, hapa hamna tiba bali ni Uchawi, Ushirikina, Utapeli/Ulaghai na Udini ndo unatawala. WAISLAMU TUSIKUBALI KUBABAISHWA NA YOYOTE YULE.

Haya ndo yale yalojiri katika tiba hii ya kikombe mpaka leo tarehe 02-04-2011nimeandika, ambayo inatibu aina zote za magonjwa sugu uzijuazo, lakini nikiwa kama muislamu, inanilazimu mimi na wewe uliyesoma makala hii KUKUTAHADHARISHA NA KUMTAHADHARISHA NDUGUYO MUISLAMU JUU YA TIBA HII YENYE SHIRKI NDANI YAKE. Katika mafundisho ya kiislamu tumefundishwa yafuatayo;-
 Hadithi ya Mtume (S.A.W), Kutoka Abu Huraira(R.A) Hakika Mtume (S.A.W) amesema “Yoyote atakayemuendea mpiga ramli / kuhani(ambaye mashetani wamemfundisha) akamuuliza jambo na akamsadikisha kwa yale aloambiwa na kuhani basi atakuwa amekufuru/amekanusha yale alokuja nayo Mtume (S.A.W)” Imepokelewa na watu wa Sunnah na Hakim
 Kutoka kwa baadhi ya wake za Mtume(S.A.W) kutoka kwa Mtume (S.A.W) amesema “Atakayemuendea Mpiga ramli na akmuuliza juu ya jambo, haitokubaliwa sala yako siku arobaini” Sahih Muslim
 Kama ukifuatilia kwa undani utagundua kuwa hamna tiba yoyote ni uzushi, uongo na ni propaganda za wasiokuwa waislamu kutaka kuwatawala watu kifikra. Allah (S.W) anasema katika Qur’an tukufu:-
 “Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu”.(Qur’an 02:02)
 “Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa”
(Qur 16:116)
 “Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu na khabari yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kutojua, na mkawa tena wenye kujuta kwa mliyoyatenda” (Qur’an 49:06)
Kwa maana “Enyi mlioamini! Akikujieni mtu ambaye yuko nje ya sharia ya Mwenyezi Mungu akakupeni khabari yoyote, basi chungueni mjue ukweli wake, kwa kuchelea msije mkawaletea watu madhara, kwa kutojua hali yao. Hapo tena baada ya kwisha dhihiri kuwa hawana makosa mkaingia katika majuto ya daima, mkatamani yasingeli kuwa.”
 “Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia(8). Yeye ndiye aliyemtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia(9)”. (Qur’an 61:08-09)
 “Wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi mnajua.” (Qur’an 02:42)
Kwa maana kuwa “Wala msichanganye Haki iliyo toka kwangu na upotovu mlio uzua nyinyi, hata ikawa halijuulikani la kweli na la uwongo. Wala msiifiche Haki, na katika hiyo Haki ni kumsadiki Muhammad, na nyinyi mnajua kuwa yeye ni wa kweli na wa kusadikiwa”
 “Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwisha fichuka chuki yao katika midomo yao. Na yanayo ficha vifua vyao ni makubwa zaidi. Tumekwisha kubainishieni Ishara ikiwa nyinyi mtayatia akilini”
(Qur’an 03:118)
 “Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu” (Qur’an 02:120)
 “Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima(18). Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu(19).” (Qur’an 03:18-19)
 “Hakika wanaouza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao thamani ndogo, hao hawatakuwa na sehemu ya kheri yoyote katika Akhera, wala Mwenyezi Mungu hatasema nao wala hatawatazama Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa, nao watapata adhabu chungu(77). Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua(78).” (Qur’an 03:77-78)
 “Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na hao ndio walio potea(90). Hakika wale waliokufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza dunia nzima lau wangeliitoa. Hao watapata adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru(91)”. (Qur’an 03:90-91)
 “Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu kama ipasavyo kumcha; wala msife ila nanyi ni Waislamu(102). Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka(103)” (Qur’an 03:102-103)
 “Enyi mlioamini! Ikiwa mtawat'ii waliokufuru watakurudisheni nyuma, na hapo mtageuka kuwa wenye kukhasiri(149). Bali Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wenu, naye ndiye bora wa wasaidizi(150).” (Qur’an 03:149-150)
 “Hakika Mwenyezi Mungu hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa amtakaye. Na anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu basi hakika amezua dhambi kubwa” (Qur’an 04:48)
Pia Muislamu kuwa makini kwa kila tukio linalotokea dunia na hasa yale ambayo yanatokea kwa wasiokuwa waislamu kwani Allah(S.W) anatuhaikishia ktk Qur’an kuwa wasiokuwa waislamu hawana mapenzi/urafiki/nia njema na waislamu, lengo lao ni kuwabadilisha waislam na kuwafanya wafuate mila za wasiokuwa waislamu.
Allah(S.W) ndo mjuzi zaidi.
MUISLAMU CHUKUA TAHADHARI KWA KUTOISADIKISHA TIBA HII

NB: Kuwa makini pindi usomapo kwenye maneno yalopigiwa mstari

ALLAH SHUHUDIA KUWA NIMEFIKISHA

HAKUNA MKAMILIFU ISIPOKUWA ALLAH (S.W)


Kwa ushauri, msaada, changamoto, mapendekezo, nyongeza katika kuupeleka mbele uislamu, tuwasiliane kwa 0713174345, 0762121619, khalidbilaly@bismillah.com, khalidbilaly@yahoo.com.

WABILLAHI TAWFIIQ




ALLAH HELP US

Wednesday, March 23, 2011

MAENDELEO DUNI YA KIELIMU KWA WAISLAMU WA TANZANIA NI YA KIHISTORIA

BISMILLAHI RAHMANIR RAHIIM
MADA: MAENDELEO DUNI YA KIELIMU KWA WAISLAMU WA TANZANIA NI YA KIHISTORIA
Ndugu zangu katika imani, tathimini ya elimu katika nchi yetu katika cha hivi karibuni inaonyesha kushuka. Kwa mfano mwaka 2011 katika matokeo ya kidato cha nne inasemekana karibu 50% ya wanafunzi wamefeli mtihani. Lakini cha kusikitisha zaidi waathirika wakubwa wa matokeo hayo ni wanafunzi wa serikali za kata.
Hali hii inatugusa sana sisi waislamu kwani kwenye sekondari hizo za kata ndiko wanakopatikana wanafunzi wa kiislamu wengi. Utafiti unaonyesha kuwa katika sekondari nyingi maalum zenye hadhi ya kiwilaya na kitaifa idadi ya waislamu ni kama 10% tu. Sisi wasomi wa ngazi zote kuanzia sekondari, vyuo mbalimbali na vyuo vikuu tunatakiwa kulitathimini hili kwa kina, kwani Allah (S.W) anatueleza kuwa:
“Wala haiwapasi waislamu kutoka wote (katika miji yao) lakini kwanini halitoki kundi (tu) katika kila taifa miongoni mwao (liende) kujielimisha vyema dini na (kisha) wakaja kuwaonya wenzi wao (waliosalia makwao) watakaporudi, ili wapate kujihadharisha (na wabaya wao)”
Qur’an 09:122
UFAFANUZI
Kujielimisha dini- Ina maana ni elimu yoyote ile ya mazingira na ya kiroho, zikiwemo hizi za kimazingira tunazozisoma (sharti tusipotoshe ukweli). Kwa maana hiyo tuna wajibu wa kuinusuru jamii kutokana na elimu tunayoipata, ikieleweka wazi kuwa sisi (wasomi wa kiislamu) tunauelewa mkubwa kuliko ndugu zetu katika imani tuliyowaacha katika maeneo mbalimbali ambao hawajabahatika kupata neema hii ya elimu kama sisi.
Swali la kujiuliza ni, kwa nini asilimia ya waislamu ni ndogo sana kuanzia sekondari, vyuo mbalimbali mpaka vyuo vikuu ukilinganisha na wakristo?
Jibu la swali hili linapatikana kwa kuangalia historia sahihi ya nchi yetu kuanzia wakati wa ukoloni mapak baada ya uhuru.
Tunaanza kurejea historia hii kwa kumtumia msomi wa kiislamu Sheikh K.S Kiangi Msuya, ambae alielezea juu ya udhalili wa elimu kwa waislamu wa Tanganyika. Maneno yake yalichapishwa katika gazeti la KIONGOZI la tarehe 26-Oct-1956 chini ya kichwa cha habari “udhalili wa elimu kwa waislamu Tanganyika”. Inasemekana kuwa hesabu ya watu wa Tanganyika ni zaidi ya 8,102,000 na katika hesabu hii waislamu ni zaidi ya 4,500,000. Sasa nataja shule zote uonekane udhalili ulioko juu ya waislamu:
HESABU YA SHULE ZOTE TANGANYIKA 1955.
1.(a) Shule za Msingi za Utawala (Government Primary School) ni 656
(b) Shule za Msingi za Wakristo ni 1692
(c) Shule za Msingi za Kiislamu ni 28
2.(a) Shule za Utawala (Government Rural Middle) ni 104
(b) Shule za Wakristo Rural Middle ni 223
(c) Shule za Waislamu Rural Middle ni HAMNA
3.(a) Shule za Sekondari za Utawala (Government Secondary School) ni 10
(b) Shule za Sekondari za Wakristo ni 16
(c) Shule za Sekondari za Waislamu ni HAMNA
4.(a) Shule za Ualimu za Utawala (Government T.T.C) ni 7
(b) Shule za Ualimu za Wakristo ni 23
(c) Shule za Ualimu za Waislamu ni HAMN A
5.(a) Shule za Ufundi, Utibabu n.k za Utawala ni 7
(b) Shule za Ufundi na Utibabu za Wakristo ni 5
(c) Shule za Ufundi na Utibabu za Waislamu ni HAMNA
Shule hizi hapo juu huendeshwa na kwa fedha tulipayo kwa kodi na ushuru wa watu wote wa Tanganyika na muislamu akihitaji kuingia katika shule za sekondari ama za ufundi za wakristo huambiwa abatizwe awe mkristo ndipo atakubaliwa kusoma hapo. Pia shule za Kati (Middle School) 104 za Serikali ambazo serikali inasema inapokea watu wote, sivyo kabisa kwani ataingiaje Shule ya Kati wakati hajapita katika Shule ya Msingi?
Kwa mfano Kibohehe, Machame wilaya ya Moshi ina wanafunzi 140, kati yao waislamu ni 12 tu na wakristo ni 128, kuingia Shule za Sekondari na za Ualimu itakuwaje? Wanafunzi wa Tanganyika waliongia chuo cha Makerere 1950-1955 ni 500, ila waislamu katika watu mia ni watano tu na 95 ni wakristo, hivyo waislamu watapataje maendeleo?.
(Seikh K.S Kiangi Msuya)

Yaani wakristo walikuwa wana neemeka huku waislamu wakinyonywa, kupuuzwa na kudhalilishwa. Kwa kugundua hilo ndio maaana waislamu walianzishwa harakati za kupambana na wakoloni, rejea upinzani (resistance) karibu zote, mfano:-
•Vita vya majimaji
•Vita vya Mkwawa dhidi ya Wajerumani
•Mtemi Mirambo wa Tabora
•Abushiri bin Salum na wengineo wengi
Pia walianzisha TAA 1929 na baadae wakaanzisha Al-Jamiaul Islamiyya 1940 na hatimaye TANU 1954 (hawa wote walikuwa ni waislamu). Waliamu kumkaribisha wakristo akiwemo J. K Nyerere, ni hapo ndipo walipofanya kosa kwani waliisahau aya ya Allah (S.W) inayosema:
“Hawatakuwa radhi juu yenu, mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao” (QUR’AN 2:120)
Wakristo hawa waliitumia nafasi ile kujiimarisha na kuanza kujipanga kimaslahi yao zaidi. Kwa pamoja wakoloni na wakriso wa Tanganyika wakatumia nafasi hiyo kumuandaa ili aje kuwa kiongozi wa nchi na pia kuwaandaa wakristo wengine ili waje kuwa viongozi wa baadae.
Padri Paul Crane alidhihirisha siri hii alipotembelea Tanganyika aliposema “Lazima tujitahidi kadri ya uwezo wetu kupata wasomi wakatoliki ambao watashika nafasi muhimu zote za kijamii” haya yanapatikana katika kitabu Paul Crane “Problems of the movement of the young away from the Churc” Kimechapishwa ROME, CIPA 1960.
Kwa hiyo baada ya uhuru alichokifanya Nyerere ni kutekeleza maazimio waliyoyaweka ndio maana yeye mwenyewe amenukuliwa katika kikao cha siri kati yake na viongozi wake wa dini, katika kitabu cha “Development and Religion in Tanzania” Ukurasa 333, 335 akisema:
“Tanzania sio nchi ya kikatoliki lakini ukatoliki una nguvu. Kawaambieni maaskofu, nimeunda idara ya elimu ya siasa katika TANU nimemuweka mchungaji wa Kilutheri aiongoze, yeye sio mahiri katika siasa lakini nimemuweka kwa sababu ya imani yake madhubuti na katika kamati kuu nimeweka wachungaji wawili. Naamini hii ndiyo njia nzuri ya kupata watu katika chama”

Kwa hiyo baada ya uhuru waliouhangaikia, waislamu walianza kubaguliwa na kunyimwa haki zao. Ndipo waislamu walipoamua kujiunga na waislamu wenzao wa Afrika Mashariki na kuunda EAST AFRICA MUSLIM WELFARE SOCIETY (E.A.M.W.S). Mwaka 1964 waislamu kupitia E.A.M.W.S wakiongozwa na waziri wa Nyerere (aliyekuwa Mwenyekiti wa A.E.M.W.S-Tanganyika) walienda Misri na nchi nyingine za kiislamu kutafuta msaada wa kujenga chuo kikuu cha kiislamu. Serikali ya Misri iliahidi kujenga chuo hicho kikuu na kwamba kingesimamiwa na E.A.M.W.S. Waliporudi waliitisha mkutano na waandishi wa habari na kueleza kwa kirefu mafanikio waliyoyapata.
Kanisa halikufurahishwa na hali hii lilimtumia J. K Nyerere kufanya yafuatayo:
1)-Nyerere alifanya mabadiliko katika baraza la mawaziri na kumpeleka Tewa Said Tewa kuwa Balozi wa China (ili kuvunja harakati).
2)-Alipandikiza migogoro E.A.M.W.S na hatimaye ikavunjika
3)-Akaanzisha BAKWATA mwaka 1968
Kwa hiyo matatizo yote ya kiuchumi na kijamii tuliyonayo waislamu chanzo ni kanisa, hasa katoliki likishirikiana na viongozi wao wa serikali. Hali ilivyo hivi sasa baada ya miaka 50 ya uhuru kwetu waislamu inatisha zaidi. Katika sekondari zote zenye sifa, vyuo mbalimbali pamoja na vyuo vikuu uwiano ni wakristo 90% na waislamu ni 10%. (Huu ni uwiano kwa shule na vyuo vya serikali) lakini wao wana shule nyingi na vyuo vingi. Mfano, wakati serikali inavyuo vikuu visivyozidi 10, waislamu bara wana chuo kimoja, wakristo wana vyuo zaidi ya 30 ukujumlisha na matawi yao. Je hali itakuwaje masiku yajayo???
Kinachotushtua zaidi ni manma hilo kanisa linavyolalamika kila kukicha kuwa serikali inawependelea waislamu na hawakuishia hapo tu bali walitoa na nyaraka mbalimbali za kukiunga mkono chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA. Si kwamba ninalengo la kuipinga CHADEMA bali nataka tuwe makini kwa kujiuliza hivi, ikiwa chama cha TANU kilichoasisiwa na waislamu toka TAA walikaribishwa na wakakichakachua na mpaka sasa ni CCM ambacho wanatudhulumu hadi hivi sasa, Je kwa chama hichi wanachokiasisi chenyewe (wanachokianzisha Wakatoliki)?
Ushahidi mmoja namna wakristo wanavyohusika na CHADEMA ni wa gaeti la MTANZANIA namba 5180 la Julai 21, mwaka 2010, kichwa cha habari ni “Dr. SLAA KUGOMBEA URAISI” (maandishi madogo) “anategemea udini wa wakristo kushinda” Mwandishi ni (Mageresi Paul)
Cha kusikitisha zaidi wanatumia elimu waliyoipata kuwarubuni waislamu wengi wawape nguvu na ndio hii inayoitwa NGUVU YA UMMA.
Mifano:
1)-Kati ya wafuasi wawili wa CHADEMA waliokufa katika vurugu za Arusha mmoja ni muislamu Bw. Ismail Omari (Miaka 25).
2)-Mfanyabiashara muislamu Mustafa Sobodo alitoa Milioni mia moja (Tsh. 100,000,000/=) mara mbili tofauti kwa CHADEMA na kufanya jumla ya Tsh. Milioni mia mbili (Tsh. 200,000,000/=).
Ieleweke hatuna nia ya kumchagulia mtu chama cha siasa cha kukifuata, bali tunataka waislamu wachukue tahadhari popote watakapokuwepo, kwani historia inaonyesha kuwa wasio waislamu wanataka vyote bila ya kuwafikiria/kutufikiria sisi waislamu. Ni wajibu wetu kuitumia elimu tuipatayo ipasavyo ili iweze kutukomboa na pia kuwakomboa wengine. Allah amesema katika Qur’an 09:122
“Wala haiwapasi waislamu kutoka wote (katika miji yao) lakini kwanini halitoki kundi (tu) katika kila taifa miongoni mwao (liende) kujielimisha vyema dini na (kisha) wakaja kuwaonya wenzi wao (waliosalia makwao) watakaporudi, ili wapate kujihadharisha (na wabaya wao)”


WABILLAH TAWFIIQ
By K/Habari
BILAL KHALID